Nyie ndiyo huwa watoto wenu wanagongewa ndani ya majumba yenu, tena mkiwepo.Yaan
Heb ngoja kwanza...
Niseme kwamba mim bado nakula ujana..sina hata mtoto wa kusingiziwa..natarajia nifanye maamuzi ya kuwa na mtoto kuanzia mwakani labda...
Haijalishi wa kiume au wa kike....
Ila sasa, kwa niliyoyashuhudia leo wakati wa mchana..nilitoka mara moja nikaelekea mahala fulani.duka fulani kutafuta kitu fulani.
Sasa nipo mule ndani natafuta huku na kule nikawakuta teenagers wakike na kiume yaan inaonekana ndo damu inachemka.
Itakuwa lazima mwaka wa kwanza ama ndo vinataka ingia chuo..yaani vinabebishana hadi kero.
Tule twa kiume tuna gu panki ka jogoo .achachacha
Mara washikane mikono mara wanyanganyane simu.ndani ya duka humo..mara wa kike amshike sikio wa kiume
Kimoyo moyo nkasema hiv we mtoto wa kike.baba ako anajua unayoyafanya huku?
Walah mungu akijaalia ..mtoto wangu wa kike ..ntaua mtu ...sitak ujinga..yaan mim ntakua baba mnoko...yaan stak upu.mbafu kabisaa. Yaan sina la kusema
Nilichefukwa sana
Uzi tayar
(Ingawa namim nilichafua sanaaa enz zangu )
Tufanye wewe ndie baba wa huyo binti, sasa ndio kaja shule wewe uko miono kwenu huko utajua?Yaan
Heb ngoja kwanza...
Niseme kwamba mim bado nakula ujana..sina hata mtoto wa kusingiziwa..natarajia nifanye maamuzi ya kuwa na mtoto kuanzia mwakani labda...
Haijalishi wa kiume au wa kike....
Ila sasa, kwa niliyoyashuhudia leo wakati wa mchana..nilitoka mara moja nikaelekea mahala fulani.duka fulani kutafuta kitu fulani.
Sasa nipo mule ndani natafuta huku na kule nikawakuta teenagers wakike na kiume yaan inaonekana ndo damu inachemka.
Itakuwa lazima mwaka wa kwanza ama ndo vinataka ingia chuo..yaani vinabebishana hadi kero.
Tule twa kiume tuna gu panki ka jogoo .achachacha
Mara washikane mikono mara wanyanganyane simu.ndani ya duka humo..mara wa kike amshike sikio wa kiume
Kimoyo moyo nkasema hiv we mtoto wa kike.baba ako anajua unayoyafanya huku?
Walah mungu akijaalia ..mtoto wangu wa kike ..ntaua mtu ...sitak ujinga..yaan mim ntakua baba mnoko...yaan stak upu.mbafu kabisaa. Yaan sina la kusema
Nilichefukwa sana
Uzi tayar
(Ingawa namim nilichafua sanaaa enz zangu )
Blah blahYaan
Heb ngoja kwanza...
Niseme kwamba mim bado nakula ujana..sina hata mtoto wa kusingiziwa..natarajia nifanye maamuzi ya kuwa na mtoto kuanzia mwakani labda...
Haijalishi wa kiume au wa kike....
Ila sasa, kwa niliyoyashuhudia leo wakati wa mchana..nilitoka mara moja nikaelekea mahala fulani.duka fulani kutafuta kitu fulani.
Sasa nipo mule ndani natafuta huku na kule nikawakuta teenagers wakike na kiume yaan inaonekana ndo damu inachemka.
Itakuwa lazima mwaka wa kwanza ama ndo vinataka ingia chuo..yaani vinabebishana hadi kero.
Tule twa kiume tuna gu panki ka jogoo .achachacha
Mara washikane mikono mara wanyanganyane simu.ndani ya duka humo..mara wa kike amshike sikio wa kiume
Kimoyo moyo nkasema hiv we mtoto wa kike.baba ako anajua unayoyafanya huku?
Walah mungu akijaalia ..mtoto wangu wa kike ..ntaua mtu ...sitak ujinga..yaan mim ntakua baba mnoko...yaan stak upu.mbafu kabisaa. Yaan sina la kusema
Nilichefukwa sana
Uzi tayar
(Ingawa namim nilichafua sanaaa enz zangu )
We hujawahi kufanya kwa watoto wa wenzio? Aaahaaa kama ulilifanya kwa watoto wa wenzio jua na wa kwako lazima atafanyiwa.. na ndio maana wanaume huwa wanaumia sana watoto wao wa kike wanapoingia kwenye ndoa coz anajua anachomfanyia mkewe na mwanae atafanyiwa vivyohivyooo!! Pambana kijanaYaan
Heb ngoja kwanza...
Niseme kwamba mim bado nakula ujana..sina hata mtoto wa kusingiziwa..natarajia nifanye maamuzi ya kuwa na mtoto kuanzia mwakani labda...
Haijalishi wa kiume au wa kike....
Ila sasa, kwa niliyoyashuhudia leo wakati wa mchana..nilitoka mara moja nikaelekea mahala fulani.duka fulani kutafuta kitu fulani.
Sasa nipo mule ndani natafuta huku na kule nikawakuta teenagers wakike na kiume yaan inaonekana ndo damu inachemka.
Itakuwa lazima mwaka wa kwanza ama ndo vinataka ingia chuo..yaani vinabebishana hadi kero.
Tule twa kiume tuna gu panki ka jogoo .achachacha
Mara washikane mikono mara wanyanganyane simu.ndani ya duka humo..mara wa kike amshike sikio wa kiume
Kimoyo moyo nkasema hiv we mtoto wa kike.baba ako anajua unayoyafanya huku?
Walah mungu akijaalia ..mtoto wangu wa kike ..ntaua mtu ...sitak ujinga..yaan mim ntakua baba mnoko...yaan stak upu.mbafu kabisaa. Yaan sina la kusema
Nilichefukwa sana
Uzi tayar
(Ingawa namim nilichafua sanaaa enz zangu )
kwa hiyo utakuwa unakwenda naye kwenye mihangaiko?Yaan
Heb ngoja kwanza...
Niseme kwamba mimi bado nakula ujana.. sina hata mtoto wa kusingiziwa.. natarajia nifanye maamuzi ya kuwa na mtoto kuanzia mwakani labda...
Haijalishi wa kiume au wa kike....
Ila sasa, kwa niliyoyashuhudia leo wakati wa mchana.. nilitoka mara moja nikaelekea mahala fulani, duka fulani kutafuta kitu fulani.
Sasa nipo mule ndani natafuta huku na kule nikawakuta teenagers wa kike na kiume yaani inaonekana ndo damu inachemka.
Itakuwa lazima mwaka wa kwanza ama ndio vinataka ingia chuo..yaani vinabebishana hadi kero.
Tule twa kiume tuna gu panki ka jogoo. achachacha
Mara washikane mikono mara wanyanganyane simu ndani ya duka humo.. mara wa kike amshike sikio wa kiume
Kimoyo moyo nikasema hivi we mtoto wa kike, baba yako anajua unayoyafanya huku?
Walah Mungu akijaalia ..mtoto wangu wa kike ..ntaua mtu ...sitaki ujinga..yaani mim ntakua baba mnoko...yaan staki upu.mbafu kabisaa. Yaan sina la kusema
Nilichefukwa sana
Uzi tayar
(Ingawa namim nilichafua sanaaa enz zangu )
Utakufa bure kwa stress bora ujifanye huoni kuliko kujua uhalisia wa yanayotokea kwa mwanaoYaan
Heb ngoja kwanza...
Niseme kwamba mimi bado nakula ujana.. sina hata mtoto wa kusingiziwa.. natarajia nifanye maamuzi ya kuwa na mtoto kuanzia mwakani labda...
Haijalishi wa kiume au wa kike....
Ila sasa, kwa niliyoyashuhudia leo wakati wa mchana.. nilitoka mara moja nikaelekea mahala fulani, duka fulani kutafuta kitu fulani.
Sasa nipo mule ndani natafuta huku na kule nikawakuta teenagers wa kike na kiume yaani inaonekana ndo damu inachemka.
Itakuwa lazima mwaka wa kwanza ama ndio vinataka ingia chuo..yaani vinabebishana hadi kero.
Tule twa kiume tuna gu panki ka jogoo. achachacha
Mara washikane mikono mara wanyanganyane simu ndani ya duka humo.. mara wa kike amshike sikio wa kiume
Kimoyo moyo nikasema hivi we mtoto wa kike, baba yako anajua unayoyafanya huku?
Walah Mungu akijaalia ..mtoto wangu wa kike ..ntaua mtu ...sitaki ujinga..yaani mim ntakua baba mnoko...yaan staki upu.mbafu kabisaa. Yaan sina la kusema
Nilichefukwa sana
Uzi tayar
(Ingawa namim nilichafua sanaaa enz zangu )
Hata wa kiume sali sana awe kidume kweli kweli...jamanmengine hayastahimiliki ukiyajuaNdio maana nafurahia sana kupata watoto midume mwanzo mwisho. Haiumi sana aisee.
Japo wapo mabinti wa kaka zangu, ila haigusi na kuuma kama yule wa kumzaa.