Lakasa chika7
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 454
- 1,261
Wadau tujipe pole kwa korona, hatari sana..nimeona clip kuna madaktari wamebadilika rangi na kuwa weusi bada ya Kupata korona. checkini hiyo link, tujiahidi kufata masharti.
Back to point nna ndoa ya miaka 3, na tuna mtoto 1, But mtoto wangu na mimi hatufanani hata kidogo, yaani hata masikio nashindwa kuelewa.. Nahisi kuna kitu watu wa karibu wanajua sema hawasemi. Nashindwa kumuuliza Wife namuonea aibu sana..ni mtulivu sana..sasa sijui maana huyu mtoto tulimpata kabla ya ndoa.
Back to point nna ndoa ya miaka 3, na tuna mtoto 1, But mtoto wangu na mimi hatufanani hata kidogo, yaani hata masikio nashindwa kuelewa.. Nahisi kuna kitu watu wa karibu wanajua sema hawasemi. Nashindwa kumuuliza Wife namuonea aibu sana..ni mtulivu sana..sasa sijui maana huyu mtoto tulimpata kabla ya ndoa.