Kweli kabisa angejua hayo maneno kwenye tshirt yalivyo na nguvu....angekuwa anajisikia raha na selected kabisa...angeanza kujiweka sawa kisaikolojia na kuwa groomed....kama wenzetu china!wanawatnza watoto wenye IQ kubwa kama 100 hivi wa rika tofauti ajili ya kuja kuwa Rais ambao wanawatengeneza kuwafundisha history na kila mfumo wa uchumi ,yaani kila kitu ili waje ku run dunia!
kuna mtoto mwenye miaka 7 amebakwa mpaka kufa baada ya kuvuja damu nyingi ni huko Simiyu wilaya ya bariadi baada ya wananchi kumfahamu aliefanya kitendo hicho walimkamata na kumshushia kipigo mpka kifo na kisha kuchomwa moto hakika mototo huyo aliefariki nae alikuwa na ndoto kama hizi...
Ya Mungu ni mengi. Anaweza kuja kuwa rais bila shaka. Walezi wake na jamii inayomzunguka wakimpa 'support' inayotakiwa ikiwemo ya kisaikolojia, hakika inawezekana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.