PAND PIERI
Senior Member
- Jul 30, 2020
- 183
- 270
Poleni na majukum ya kujenga Taifa ndg zg , mtoto mwenye umri niliyotaja hapo juu analia Sana ( Sana Sana wakati was usiku) Kama tumbo inamsokota vile, Kuna muda anajikunja sana, huku akiwa analia.
Anajamba na haja kubwa anaenda, nilimpereka hospital wakaniambia ni hali ya kawaida akiwa anajamba na kwenda haja kubwa hamna shida . Mtoto anajikakamua/ tumbo ina msokota na analia tumbo ikianza kumsokota hata kunyonya hanyonyi.
Shida yangu ni kuomba msaada /dawa nikamnunulie angalau ajisikie vizuri najisikia vibaya anaposokotwa na tumbo na hata abemberezwe hatuli mpaka tumbo itulie kidogo.
Anajamba na haja kubwa anaenda, nilimpereka hospital wakaniambia ni hali ya kawaida akiwa anajamba na kwenda haja kubwa hamna shida . Mtoto anajikakamua/ tumbo ina msokota na analia tumbo ikianza kumsokota hata kunyonya hanyonyi.
Shida yangu ni kuomba msaada /dawa nikamnunulie angalau ajisikie vizuri najisikia vibaya anaposokotwa na tumbo na hata abemberezwe hatuli mpaka tumbo itulie kidogo.