Mtoto wa RUGE amuombea samahani Baba yake

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,792
287,994
MTOTO mkubwa wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group (CMG), marehemu Rugemalira Mutahaba maarufu Ruge, Mwachi Ruge, amemwombea msamaha baba yake kwa watu ambao aliwakosea kipindi cha uhai wake.

Mwachi alitumia fursa hiyo jana wakati akisoma wasifu wa marehemu baba yake katika shughuli ya kumuaga iliyofanyika Ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.

Akisoma wasifu huo taratibu huku machozi yakimtoka, Mwachi alisema baba yake alikuwa mshindani halisi na anatambua kwa biashara yoyote kibinadamu kwa namna moja au nyingine huwa kunatokea kukwazana.

Kauli hiyo ilionekana kuwasababishia zaidi uchungu baadhi ya watu ambao baadhi walishindwa kujizuia na kuangua kilio.

Mwachi alikwenda mbali zaidi akisema kwa niaba ya familia yao anawasamehe wale wote ambao walimkosea Ruge.

Alisema nia ya familia yao ni kwenda mbele kwa pamoja, kupendana na kuheshimiana.

“Familia imeishakubali kwamba Ruge hakuwa …

Kwa habari zaidi jipatie nakala yako ya gazeti la MTANZANIA.
 
Angalia vizuri tukio mubashara la kuaga mwili wa marehemu pale ukumbini. JPM alikuwa wa kwanza. Baada ya kuaga na kusali kidogo, alienda kuwapa Mikono ndugu wa marehemu na baadaye viongozi. Kama umeona vizuri ndugu mmoja mdada hakumaindi kabisa Pole ya JPM na akampa JPM mkono wa kushoto na kumkatia jicho la chuki. Hamkuona wakuu hilo?!?
 
Angalia vizuri tukio mubashara la kuaga mwili wa marehemu pale ukumbini. JPM alikuwa wa kwanza. Baada ya kuaga na kusali kidogo, alienda kuwapa Mikono ndugu wa marehemu na baadaye viongozi. Kama umeona vizuri ndugu mmoja mdada hakumaindi kabisa Pole ya JPM na akampa JPM mkono wa kushoto na kumkatia jicho la chuki. Hamkuona wakuu hilo?!?
Kuna kitu kinaitwa funeral behavior watu wanatakiwa kufundishwa kuwa ukifiwa you need to behave yourself.Sio sehemu ya Ku misbehave ile.Taabu wengine wakifiwa hunywa pombe Kali au kuvuta Bangi eti apate steam ya msiba matokeo yake aweza misbehave.Kama kweli kufanya hivyo ita mcost labda asiwe na deal yeyote na serikali au ajira serikalini wataondoka na hiyo video na kuiweka kumbukumbu for years ya Kula naye sahani moja
 
Kuna kitu kinaitwa funeral behavior watu wanatakiwa kufundishwa kuwa ukifiwa you need to behave yourself.Sio sehemu ya Ku misbehave ile.Taabu wengine wakifiwa hunywa pombe Kali au kuvuta Bangi eti apate steam ya msiba matokeo yake aweza misbehave.Kama kweli kufanya hivyo ita mcost labda asiwe na deal yeyote na serikali au ajira serikalini wataondoka na hiyo video na kuiweka kumbukumbu for years ya Kula naye sahani moja

Umeongea utoto wa hali ya juu, kwa hiyo serekali kazi yake ni kufanyizia watu wenye stress zao? Sasa tofauti ya serekali na huyo muhuni iko wapi? Serekali imeshindwa kutoa ajira wala kuongeza mishahara ila muda wa kutunza Mikanda ya watu wasiojipendekeza kwa rais inao ili wawafanyizie. Halafu ww uliyekuja na huu upuuzi ni mtu mwenye elimu yako!! Mkiambiwa kuwa ndio mmepiga Lissu risasi mnatoka mishipa kutaka ushahidi wakati tabia zenu ziko wazi na mnajisahau na kuzikiri hadharani.
 
Angalia vizuri tukio mubashara la kuaga mwili wa marehemu pale ukumbini. JPM alikuwa wa kwanza. Baada ya kuaga na kusali kidogo, alienda kuwapa Mikono ndugu wa marehemu na baadaye viongozi. Kama umeona vizuri ndugu mmoja mdada hakumaindi kabisa Pole ya JPM na akampa JPM mkono wa kushoto na kumkatia jicho la chuki. Hamkuona wakuu hilo?!?
Kama ulisemalo ni kweli na wasaidizi Wa Rais wameling'amua hilo...

Basi zake zahesabika.
 
Kuna kitu kinaitwa funeral behavior watu wanatakiwa kufundishwa kuwa ukifiwa you need to behave yourself.Sio sehemu ya Ku misbehave ile.Taabu wengine wakifiwa hunywa pombe Kali au kuvuta Bangi eti apate steam ya msiba matokeo yake aweza misbehave.Kama kweli kufanya hivyo ita mcost labda asiwe na deal yeyote na serikali au ajira serikalini wataondoka na hiyo video na kuiweka kumbukumbu for years ya Kula naye sahani moja
Umeandika pumba alafu wala haujishtukii
 
Angalia vizuri tukio mubashara la kuaga mwili wa marehemu pale ukumbini. JPM alikuwa wa kwanza. Baada ya kuaga na kusali kidogo, alienda kuwapa Mikono ndugu wa marehemu na baadaye viongozi. Kama umeona vizuri ndugu mmoja mdada hakumaindi kabisa Pole ya JPM na akampa JPM mkono wa kushoto na kumkatia jicho la chuki. Hamkuona wakuu hilo?!?
Hisia zako tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia vizuri tukio mubashara la kuaga mwili wa marehemu pale ukumbini. JPM alikuwa wa kwanza. Baada ya kuaga na kusali kidogo, alienda kuwapa Mikono ndugu wa marehemu na baadaye viongozi. Kama umeona vizuri ndugu mmoja mdada hakumaindi kabisa Pole ya JPM na akampa JPM mkono wa kushoto na kumkatia jicho la chuki. Hamkuona wakuu hilo?!?
Hata Mimi niliiona hiyo "scene"

Huyo mdada ajiandae kwa visasi vyake huyo Jiwe atakavyomuwekea
 
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mbunge wa jimbo la Hai na Kiongozi wa upinzani Bungeni kwa sasa yupo gerezani Segerea.

Ruge Mutahaba, Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji, Meneja wa Clouds Entertainment Company zamani kabla ya kuwa Clouds Media Group, Muanzilishi wa Tanzania House of Talent (T.H.T), amefariki Jumanne 26/2/2019 Afrika Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu.

Mbowe na Ruge watu hawa ukiwafuatilia na kuchunguza tabia na maisha yao kwa karibu, utagundua hawana tofauti kubwa sana, kuanzia wanavyoishi na watu, wako simple na sio watu wa kujikweza kabisa hata siku moja, wote wakisisitiza muda wote mlango wangu uko wazi, hupenda kusikiliza kuliko wao kuongea.

Nilianza kufanya kazi na Ruge Mutahaba nikiwa na miaka 22 tu, nikiwa kijana mdogo, kwenye interview mbele ya watu wenye Digrii na Diploma nikiwa na elimu ngazi ya cheti tu, alitizama uwezo wangu wa kazi na commitment na sio ukubwa wa elimu yangu, ndipo nilipoanza kufanya nae kazi kwa karibu mpaka mwaka 2013.

2014 nilikutana na Freeman Mbowe nikiwa kama mwandishi wa habari tukiwa field kanda ya kati, tukiwa tunaruka kwa chopa kwenye operesheni "delete ccm" niliachana na genius nikakutana na genius, how luck i was.

Kwa jicho lile lile aliloniona Ruge, Mbowe nae aliniona, nikaanza kufanya kazi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Mbowe na Ruge kwa kuwa nimewahi kukaa nao sijaona tofauti kubwa sana walizo nazo, wote ni watu wa watu, wanapenda watu na kujichanganya sana, ili wajifunze mambo mapya na kusikiliza watu.

Wote wamefanikiwa kupewa dhana ya ushawishi mkubwa katika jamii kwa yale wanayoyaamini na kufanikiwa kupendwa sana kila kona wanayopita, pia wamebahatika kupewa hekima na busara nyingi katika maisha yao, ni watu wanaoamini katika vipaji vya watu, wenye macho ya kugundua watu wenye uwezo mkubwa na kuwachukua na kuwalea katika kile wanachokiamini na kutaka wafikie ndoto zao pale wanapowaamini, hukuacha huru uendelee kupepea na ataendelea kukusaidia wakati wowote utakapohitaji msaada kutoka kwake.

Ni watu wasiopenda kushindwa, hawapendi kuona watu wanashindwa pia katika yale wanayoyaamini katika kufikia ndoto zao, wako tayari kujitoa kwa lolote katika kusimamia wanachokiamini, hawakati tamaa, wapambanaji na wenye kupenda kusaidia watu, waliopata kukaa na Mbowe wanaweza wakawa mashuhuda na waliobahatika kukaa na Ruge pia ni mashuhuda pia ni watu wenye kaliba moja na maono sawa.

Ukimfuatilia Mhe Freeman Mbowe ni mtu ambae ameamini katika rika zote hususani vijana ambao kupitia yeye amewapa nafasi na kuwalea na kwa sasa ni wanasiasa na mastaa wakubwa nchini Tanzania.

Maisha ya Freeman Mbowe kusafiri nje ya nchi toka akiwa kijana mdogo sio ishu ana-exposure ya kutosha ni mtu ambae amefika Marekani akiwa kijana mdogo angeweza kubaki huko aendelee kula maisha yake kwa mrija lakini akaona hapana lazima nirudi Tanzania na kulitumikia taifa lake, vile vile ilivyo kwa Ruge amezaliwa Brookkyn New York Marekani lakini aliamua kurudi Tanzania akiamini Tanzania inamuhitaji sana.

Kupitia Mbowe wamesaidiwa watu wengi unaposoma hili andiko kichwani kwako majina ya waliofanywa na Mbowe wajulikane yanakuja mengi, na amefanikiwa kubadilisha siasa za Tanzania kwa asilimia kubwa akifungua akili za Watanzania waliokuwa wamelala bado (In deep slumber), ameleta utoafauti sana na ilivyokuwa awali kwa miaka 20 iliyopita akiwa shujaa wa kwenye siasa za upinzania,Sugu hupenda kuita "Siasa za Mars" yani za level za juu sana kupata kutokea.

Kupitia Ruge wamesaidiwa watu wengi na unaposoma hili andiko majina ya waliyosaidiwa na Ruge yanaanza kuja kichwani na amebadilisha tasnia ya burudani kwa asilimia kubwa hapa Tanzania.

Mfano Joseph Mbilinyi mbunge wa Mbeya mjini, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema (Sugu), Joseph Haule mbunge wa Mikumi (Professa Jay) hawa walipita mikononi mwa Ruge akafanya nao kazi katika sanaa na baadae kuibukia mikononi mwa Mbowe akawaamini akawapa nafasi na sasa anafanya nao kazi katika siasa, ukiacha changamoto ambazo zilitokea awali kati ya Sugu na Ruge na Profesa Jay misuguano ya hapa na pale Nukuu "Kama hakuna changamoto katika unachokifanya fahamu kuna mahali unakosea" Ruge.

Lakini mwisho wa siku yote yalikwisha wakafanya kazi kwa pamoja hadi mauti yanamkuta Ruge, Sugu na Profesa Jay walikuwa wakishirikiana vizuri kwa pamoja kwa masuala ya muziki huku wasanii hawa wakiwa wanamuziki na wanasiasa Wabunge wa Chadema chini ya M/kiti wao kiongozi wa mapambano ya kuleta mabadiliko ya kweli usawa na haki hapa nchini Tanzania Kamanda Freeman Mbowe.

Mbowe wakati akimiliki Club Billicanas kabla ya kuvunjwa mwaka 2016 na utawala wa awamu ya 5, ameshirikiana na Ruge na Joseph Kusaga Mkurugenzi wa Clouds Media Group wamekuwa ni wafanyabiashara walioungana (Business Partners) katika burudani na kuinua vijana katika muziki kupitia club hiyo ya kisasa iliyopata kutokea Tanzania na kwa asilimia kubwa ya wasanii wa Tanzania wamefanya shows pale wao ni mashahidi.

Wasanii wengi walikuwa wakifanya shows zao pale ikiwa ni club ya kisasa nchini iliyojulikana pande zote za Dar es salaam, Tanzania yote na Áfrika Mashariki, wageni wengi walipofika Tanzania walipenda kutembelea Club Billicanas na Much More Restaurant kupata vyakula, vinywaji, burudani na kukutana na wasanii mbalimbali ikiwa ni sehemu yenye usalama mkubwa, parking kubwa ikiwa ni club pekee ambayo haikuwahi kupata kashfa yoyote wala majanga huku viongozi wengi wa kiserikali wakipenda kufika hapo wakiamini ni sehemu salama sana.

Kupitia Club Billicanas na kupitia Mbowe na Ruge asilimia kubwa ya wasanii wamefanya kazi ndani ya Club Billicanas, Ruge na Mbowe walikuwa ni ndege wanaofanana ndio maana waliruka pamoja ingawa mmoja ni mwanasiasa/mfanyabiashara na mwingine alikuwa ni mfanyabiashara 100% katika tasnia ya habari, burudani na michezo.

Kwa ufupi wanasiasa waliopitia mikononi mwa Mbowe akawaamini na kuwaacha wafanye kazi na leo ni wakubwa, kwa kuwataja wachache ni pamoja na Zito Kabwe, Halima Mdee, John Mnyika, Joseph Mbilinyi (Sugu), Joseph Haule (Profesa Jay) John Heche, Ester Bulaya, Godbless Lema, Peter Msigwa, Meya Boniface Jacob, Ester Matiko na wengine wengi sana ambao ni matunda yake ambao ni wengi siwezi kumaliza nikianza kuwataja hapa.

Baadhi ya Wasanii waliopitia mikononi mwa Ruge nakufanya nao kazi ni Sugu ambae mara ya mwisho alifanya show ya Fiesta Mbeya akiwa kwa karibu kabisa na Ruge.
Profesa Jay, Lady Jaydee, Ray C, Mwana FA, AY, Lina, Ruby, Nandy, Mwasiti, Amin na wengine wengi ambao siwezi kumaliza leo nikianza kuwataja hapa.

Hawa ni watu ambao wanaomiamini katika uwezo wa mtu binafsi hawaamini sana katika vyeti ingawa wanasisitiza sana elimu na kusaidia kulipia watu wasio na uwezo ada za shule, wakisisiti kwamba elimu ni muhimu itakusaidia kureason na kupambanua mambo hivyo usiache elimu iende zake, ila wakati wanafanya kazi na wewe hawaangalii elimu sana, bali wanaangalia uwezo wako kwenye kufikisha ulicho nacho kwa watu na jinsi utakavyotumia uwezo wako kuisaidia jamii yako kupitia kipaji chako, unaweza ukaona kuna wasomi maprofesa lakini kupitia elimu zao kubwa wamekuwa ni mizigo kwa taifa badala ya faida ndani ya jamii, hapo ndipo unapoona unaweza ukawa na elimu ukashindwa kuitumia na mwenye elimu ya kawaida akakuzidi kureason mambo na kutatua jambo kwa manufaa ya wengi.

Mbowe na Ruge ni watu ambao ukicgunguza ukafanya utafiti wako mdogo utagundua ni watu ambao wanapendwa sana na watu wakiwemo wale wanaoamini katika mambo wanayoyafanya miongoni mwa jamii kwa ushawishi wao.


Ni watu ambao kwa hali zao za kifedha na kwa kuwa sio wabinafsi, pasipo na shaka wangeweza wakakaa na kuendelea kutumia pesa zao bila kubugudhiwa na kuacha kutaka kuisaidia jamii kutoka sehemu moja ama nyingine.

Mbowe amekuwa mpigania usawa na haki katika Taifa hili atakaebisha au kukataa hata mawe yatasema hata Yesu na Mtume Muhammad walihubiri neno la Mungu lakini walipingwa, kupingwa kupo kote duniani, na watakaopinga ni opponents sababu hata Ruge huyu kuna ambao wanampinga, sio lazima upendwe na wote au uchukiwe na wote, tenda wema nenda zako life is too short .

Tumsifu kabla hajaondoka, sio aondoke ndio tumsifu, ambapo hatoweza kuona wala kusikia.

Ruge amesaidia jamii husasani vijana kwa kuwafungulia dunia kama alivyokuwa akisema katika kauli mbiu mbalimbali za fursa, leo ameondoka anapewa sifa ambapo hawezi kuona wala kusikia.

Hivi ndivyo navyoweza kuwalinganisha Mbowe na Ruge katika maisha yao.

Namsifia Mbowe leo, kwa kusaidia watu wengi, najua akitoka Segerea atasoma ujumbe huu nakuona sifa hizi, isije ikatokea kama ilivyo kwa Ruge nilishindwa kumpa sifa zake hata kwa kumtumia ujumbe kwa simu yake huku nikiwa na namba yake, amefariki ndio naona umuhimu wa kumpa sifa zake lukuki, kwa sasa nikiwa chini ya Boss mwingine mwenye kaliba kama ile ile ya Ruge nampa sifa zake.

Mbowe is so kind, very intelligent, hero of this good fight, sent from heaven to start this war against lawlessness in the country.

Watajaribu kukata miti lakini mbegu zishadondoka chini katika udongo wenye rutuba na kuota tena, you changed people's mind sets, you sow the right seeds in us, prints are in our hearts no body can see from outside, you did the right thing in your life time though you are behind bars by now but i will never be a snitch and turn my back on you.

Salute Kamanda Mbowe. Aluta Continues....
 
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mbunge wa jimbo la Hai na Kiongozi wa upinzani Bungeni kwa sasa yupo gerezani Segerea.

Ruge Mutahaba, Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji, Meneja wa Clouds Entertainment Company zamani kabla ya kuwa Clouds Media Group, Muanzilishi wa Tanzania House of Talent (T.H.T), amefariki Jumanne 26/2/2019 Afrika Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu.

Mbowe na Ruge watu hawa ukiwafuatilia na kuchunguza tabia na maisha yao kwa karibu, utagundua hawana tofauti kubwa sana, kuanzia wanavyoishi na watu, wako simple na sio watu wa kujikweza kabisa hata siku moja, wote wakisisitiza muda wote mlango wangu uko wazi, hupenda kusikiliza kuliko wao kuongea.

Nilianza kufanya kazi na Ruge Mutahaba nikiwa na miaka 22 tu, nikiwa kijana mdogo, kwenye interview mbele ya watu wenye Digrii na Diploma nikiwa na elimu ngazi ya cheti tu, alitizama uwezo wangu wa kazi na commitment na sio ukubwa wa elimu yangu, ndipo nilipoanza kufanya nae kazi kwa karibu mpaka mwaka 2013.

2014 nilikutana na Freeman Mbowe nikiwa kama mwandishi wa habari tukiwa field kanda ya kati, tukiwa tunaruka kwa chopa kwenye operesheni "delete ccm" niliachana na genius nikakutana na genius, how luck i was.

Kwa jicho lile lile aliloniona Ruge, Mbowe nae aliniona, nikaanza kufanya kazi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Mbowe na Ruge kwa kuwa nimewahi kukaa nao sijaona tofauti kubwa sana walizo nazo, wote ni watu wa watu, wanapenda watu na kujichanganya sana, ili wajifunze mambo mapya na kusikiliza watu.

Wote wamefanikiwa kupewa dhana ya ushawishi mkubwa katika jamii kwa yale wanayoyaamini na kufanikiwa kupendwa sana kila kona wanayopita, pia wamebahatika kupewa hekima na busara nyingi katika maisha yao, ni watu wanaoamini katika vipaji vya watu, wenye macho ya kugundua watu wenye uwezo mkubwa na kuwachukua na kuwalea katika kile wanachokiamini na kutaka wafikie ndoto zao pale wanapowaamini, hukuacha huru uendelee kupepea na ataendelea kukusaidia wakati wowote utakapohitaji msaada kutoka kwake.

Ni watu wasiopenda kushindwa, hawapendi kuona watu wanashindwa pia katika yale wanayoyaamini katika kufikia ndoto zao, wako tayari kujitoa kwa lolote katika kusimamia wanachokiamini, hawakati tamaa, wapambanaji na wenye kupenda kusaidia watu, waliopata kukaa na Mbowe wanaweza wakawa mashuhuda na waliobahatika kukaa na Ruge pia ni mashuhuda pia ni watu wenye kaliba moja na maono sawa.

Ukimfuatilia Mhe Freeman Mbowe ni mtu ambae ameamini katika rika zote hususani vijana ambao kupitia yeye amewapa nafasi na kuwalea na kwa sasa ni wanasiasa na mastaa wakubwa nchini Tanzania.

Maisha ya Freeman Mbowe kusafiri nje ya nchi toka akiwa kijana mdogo sio ishu ana-exposure ya kutosha ni mtu ambae amefika Marekani akiwa kijana mdogo angeweza kubaki huko aendelee kula maisha yake kwa mrija lakini akaona hapana lazima nirudi Tanzania na kulitumikia taifa lake, vile vile ilivyo kwa Ruge amezaliwa Brookkyn New York Marekani lakini aliamua kurudi Tanzania akiamini Tanzania inamuhitaji sana.

Kupitia Mbowe wamesaidiwa watu wengi unaposoma hili andiko kichwani kwako majina ya waliofanywa na Mbowe wajulikane yanakuja mengi, na amefanikiwa kubadilisha siasa za Tanzania kwa asilimia kubwa akifungua akili za Watanzania waliokuwa wamelala bado (In deep slumber), ameleta utoafauti sana na ilivyokuwa awali kwa miaka 20 iliyopita akiwa shujaa wa kwenye siasa za upinzania,Sugu hupenda kuita "Siasa za Mars" yani za level za juu sana kupata kutokea.

Kupitia Ruge wamesaidiwa watu wengi na unaposoma hili andiko majina ya waliyosaidiwa na Ruge yanaanza kuja kichwani na amebadilisha tasnia ya burudani kwa asilimia kubwa hapa Tanzania.

Mfano Joseph Mbilinyi mbunge wa Mbeya mjini, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema (Sugu), Joseph Haule mbunge wa Mikumi (Professa Jay) hawa walipita mikononi mwa Ruge akafanya nao kazi katika sanaa na baadae kuibukia mikononi mwa Mbowe akawaamini akawapa nafasi na sasa anafanya nao kazi katika siasa, ukiacha changamoto ambazo zilitokea awali kati ya Sugu na Ruge na Profesa Jay misuguano ya hapa na pale Nukuu "Kama hakuna changamoto katika unachokifanya fahamu kuna mahali unakosea" Ruge.

Lakini mwisho wa siku yote yalikwisha wakafanya kazi kwa pamoja hadi mauti yanamkuta Ruge, Sugu na Profesa Jay walikuwa wakishirikiana vizuri kwa pamoja kwa masuala ya muziki huku wasanii hawa wakiwa wanamuziki na wanasiasa Wabunge wa Chadema chini ya M/kiti wao kiongozi wa mapambano ya kuleta mabadiliko ya kweli usawa na haki hapa nchini Tanzania Kamanda Freeman Mbowe.

Mbowe wakati akimiliki Club Billicanas kabla ya kuvunjwa mwaka 2016 na utawala wa awamu ya 5, ameshirikiana na Ruge na Joseph Kusaga Mkurugenzi wa Clouds Media Group wamekuwa ni wafanyabiashara walioungana (Business Partners) katika burudani na kuinua vijana katika muziki kupitia club hiyo ya kisasa iliyopata kutokea Tanzania na kwa asilimia kubwa ya wasanii wa Tanzania wamefanya shows pale wao ni mashahidi.

Wasanii wengi walikuwa wakifanya shows zao pale ikiwa ni club ya kisasa nchini iliyojulikana pande zote za Dar es salaam, Tanzania yote na Áfrika Mashariki, wageni wengi walipofika Tanzania walipenda kutembelea Club Billicanas na Much More Restaurant kupata vyakula, vinywaji, burudani na kukutana na wasanii mbalimbali ikiwa ni sehemu yenye usalama mkubwa, parking kubwa ikiwa ni club pekee ambayo haikuwahi kupata kashfa yoyote wala majanga huku viongozi wengi wa kiserikali wakipenda kufika hapo wakiamini ni sehemu salama sana.

Kupitia Club Billicanas na kupitia Mbowe na Ruge asilimia kubwa ya wasanii wamefanya kazi ndani ya Club Billicanas, Ruge na Mbowe walikuwa ni ndege wanaofanana ndio maana waliruka pamoja ingawa mmoja ni mwanasiasa/mfanyabiashara na mwingine alikuwa ni mfanyabiashara 100% katika tasnia ya habari, burudani na michezo.

Kwa ufupi wanasiasa waliopitia mikononi mwa Mbowe akawaamini na kuwaacha wafanye kazi na leo ni wakubwa, kwa kuwataja wachache ni pamoja na Zito Kabwe, Halima Mdee, John Mnyika, Joseph Mbilinyi (Sugu), Joseph Haule (Profesa Jay) John Heche, Ester Bulaya, Godbless Lema, Peter Msigwa, Meya Boniface Jacob, Ester Matiko na wengine wengi sana ambao ni matunda yake ambao ni wengi siwezi kumaliza nikianza kuwataja hapa.

Baadhi ya Wasanii waliopitia mikononi mwa Ruge nakufanya nao kazi ni Sugu ambae mara ya mwisho alifanya show ya Fiesta Mbeya akiwa kwa karibu kabisa na Ruge.
Profesa Jay, Lady Jaydee, Ray C, Mwana FA, AY, Lina, Ruby, Nandy, Mwasiti, Amin na wengine wengi ambao siwezi kumaliza leo nikianza kuwataja hapa.

Hawa ni watu ambao wanaomiamini katika uwezo wa mtu binafsi hawaamini sana katika vyeti ingawa wanasisitiza sana elimu na kusaidia kulipia watu wasio na uwezo ada za shule, wakisisiti kwamba elimu ni muhimu itakusaidia kureason na kupambanua mambo hivyo usiache elimu iende zake, ila wakati wanafanya kazi na wewe hawaangalii elimu sana, bali wanaangalia uwezo wako kwenye kufikisha ulicho nacho kwa watu na jinsi utakavyotumia uwezo wako kuisaidia jamii yako kupitia kipaji chako, unaweza ukaona kuna wasomi maprofesa lakini kupitia elimu zao kubwa wamekuwa ni mizigo kwa taifa badala ya faida ndani ya jamii, hapo ndipo unapoona unaweza ukawa na elimu ukashindwa kuitumia na mwenye elimu ya kawaida akakuzidi kureason mambo na kutatua jambo kwa manufaa ya wengi.

Mbowe na Ruge ni watu ambao ukicgunguza ukafanya utafiti wako mdogo utagundua ni watu ambao wanapendwa sana na watu wakiwemo wale wanaoamini katika mambo wanayoyafanya miongoni mwa jamii kwa ushawishi wao.


Ni watu ambao kwa hali zao za kifedha na kwa kuwa sio wabinafsi, pasipo na shaka wangeweza wakakaa na kuendelea kutumia pesa zao bila kubugudhiwa na kuacha kutaka kuisaidia jamii kutoka sehemu moja ama nyingine.

Mbowe amekuwa mpigania usawa na haki katika Taifa hili atakaebisha au kukataa hata mawe yatasema hata Yesu na Mtume Muhammad walihubiri neno la Mungu lakini walipingwa, kupingwa kupo kote duniani, na watakaopinga ni opponents sababu hata Ruge huyu kuna ambao wanampinga, sio lazima upendwe na wote au uchukiwe na wote, tenda wema nenda zako life is too short .

Tumsifu kabla hajaondoka, sio aondoke ndio tumsifu, ambapo hatoweza kuona wala kusikia.

Ruge amesaidia jamii husasani vijana kwa kuwafungulia dunia kama alivyokuwa akisema katika kauli mbiu mbalimbali za fursa, leo ameondoka anapewa sifa ambapo hawezi kuona wala kusikia.

Hivi ndivyo navyoweza kuwalinganisha Mbowe na Ruge katika maisha yao.

Namsifia Mbowe leo, kwa kusaidia watu wengi, najua akitoka Segerea atasoma ujumbe huu nakuona sifa hizi, isije ikatokea kama ilivyo kwa Ruge nilishindwa kumpa sifa zake hata kwa kumtumia ujumbe kwa simu yake huku nikiwa na namba yake, amefariki ndio naona umuhimu wa kumpa sifa zake lukuki, kwa sasa nikiwa chini ya Boss mwingine mwenye kaliba kama ile ile ya Ruge nampa sifa zake.

Mbowe is so kind, very intelligent, hero of this good fight, sent from heaven to start this war against lawlessness in the country.

Watajaribu kukata miti lakini mbegu zishadondoka chini katika udongo wenye rutuba na kuota tena, you changed people's mind sets, you sow the right seeds in us, prints are in our hearts no body can see from outside, you did the right thing in your life time though you are behind bars by now but i will never be a snitch and turn my back on you.

Salute Kamanda Mbowe. Aluta Continues....
Ni kweli ila tofouti yao kubwa ni moja..... Ruge (RIp) alikua underground politician kwaajiri ya the (oppressors) Mbowe Open/free minded politician kwa ajiri ya the (oppressed )

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mbunge wa jimbo la Hai na Kiongozi wa upinzani Bungeni kwa sasa yupo gerezani Segerea.

Ruge Mutahaba, Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji, Meneja wa Clouds Entertainment Company zamani kabla ya kuwa Clouds Media Group, Muanzilishi wa Tanzania House of Talent (T.H.T), amefariki Jumanne 26/2/2019 Afrika Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu.

Mbowe na Ruge watu hawa ukiwafuatilia na kuchunguza tabia na maisha yao kwa karibu, utagundua hawana tofauti kubwa sana, kuanzia wanavyoishi na watu, wako simple na sio watu wa kujikweza kabisa hata siku moja, wote wakisisitiza muda wote mlango wangu uko wazi, hupenda kusikiliza kuliko wao kuongea.

Nilianza kufanya kazi na Ruge Mutahaba nikiwa na miaka 22 tu, nikiwa kijana mdogo, kwenye interview mbele ya watu wenye Digrii na Diploma nikiwa na elimu ngazi ya cheti tu, alitizama uwezo wangu wa kazi na commitment na sio ukubwa wa elimu yangu, ndipo nilipoanza kufanya nae kazi kwa karibu mpaka mwaka 2013.

2014 nilikutana na Freeman Mbowe nikiwa kama mwandishi wa habari tukiwa field kanda ya kati, tukiwa tunaruka kwa chopa kwenye operesheni "delete ccm" niliachana na genius nikakutana na genius, how luck i was.

Kwa jicho lile lile aliloniona Ruge, Mbowe nae aliniona, nikaanza kufanya kazi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Mbowe na Ruge kwa kuwa nimewahi kukaa nao sijaona tofauti kubwa sana walizo nazo, wote ni watu wa watu, wanapenda watu na kujichanganya sana, ili wajifunze mambo mapya na kusikiliza watu.

Wote wamefanikiwa kupewa dhana ya ushawishi mkubwa katika jamii kwa yale wanayoyaamini na kufanikiwa kupendwa sana kila kona wanayopita, pia wamebahatika kupewa hekima na busara nyingi katika maisha yao, ni watu wanaoamini katika vipaji vya watu, wenye macho ya kugundua watu wenye uwezo mkubwa na kuwachukua na kuwalea katika kile wanachokiamini na kutaka wafikie ndoto zao pale wanapowaamini, hukuacha huru uendelee kupepea na ataendelea kukusaidia wakati wowote utakapohitaji msaada kutoka kwake.

Ni watu wasiopenda kushindwa, hawapendi kuona watu wanashindwa pia katika yale wanayoyaamini katika kufikia ndoto zao, wako tayari kujitoa kwa lolote katika kusimamia wanachokiamini, hawakati tamaa, wapambanaji na wenye kupenda kusaidia watu, waliopata kukaa na Mbowe wanaweza wakawa mashuhuda na waliobahatika kukaa na Ruge pia ni mashuhuda pia ni watu wenye kaliba moja na maono sawa.

Ukimfuatilia Mhe Freeman Mbowe ni mtu ambae ameamini katika rika zote hususani vijana ambao kupitia yeye amewapa nafasi na kuwalea na kwa sasa ni wanasiasa na mastaa wakubwa nchini Tanzania.

Maisha ya Freeman Mbowe kusafiri nje ya nchi toka akiwa kijana mdogo sio ishu ana-exposure ya kutosha ni mtu ambae amefika Marekani akiwa kijana mdogo angeweza kubaki huko aendelee kula maisha yake kwa mrija lakini akaona hapana lazima nirudi Tanzania na kulitumikia taifa lake, vile vile ilivyo kwa Ruge amezaliwa Brookkyn New York Marekani lakini aliamua kurudi Tanzania akiamini Tanzania inamuhitaji sana.

Kupitia Mbowe wamesaidiwa watu wengi unaposoma hili andiko kichwani kwako majina ya waliofanywa na Mbowe wajulikane yanakuja mengi, na amefanikiwa kubadilisha siasa za Tanzania kwa asilimia kubwa akifungua akili za Watanzania waliokuwa wamelala bado (In deep slumber), ameleta utoafauti sana na ilivyokuwa awali kwa miaka 20 iliyopita akiwa shujaa wa kwenye siasa za upinzania,Sugu hupenda kuita "Siasa za Mars" yani za level za juu sana kupata kutokea.

Kupitia Ruge wamesaidiwa watu wengi na unaposoma hili andiko majina ya waliyosaidiwa na Ruge yanaanza kuja kichwani na amebadilisha tasnia ya burudani kwa asilimia kubwa hapa Tanzania.

Mfano Joseph Mbilinyi mbunge wa Mbeya mjini, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema (Sugu), Joseph Haule mbunge wa Mikumi (Professa Jay) hawa walipita mikononi mwa Ruge akafanya nao kazi katika sanaa na baadae kuibukia mikononi mwa Mbowe akawaamini akawapa nafasi na sasa anafanya nao kazi katika siasa, ukiacha changamoto ambazo zilitokea awali kati ya Sugu na Ruge na Profesa Jay misuguano ya hapa na pale Nukuu "Kama hakuna changamoto katika unachokifanya fahamu kuna mahali unakosea" Ruge.

Lakini mwisho wa siku yote yalikwisha wakafanya kazi kwa pamoja hadi mauti yanamkuta Ruge, Sugu na Profesa Jay walikuwa wakishirikiana vizuri kwa pamoja kwa masuala ya muziki huku wasanii hawa wakiwa wanamuziki na wanasiasa Wabunge wa Chadema chini ya M/kiti wao kiongozi wa mapambano ya kuleta mabadiliko ya kweli usawa na haki hapa nchini Tanzania Kamanda Freeman Mbowe.

Mbowe wakati akimiliki Club Billicanas kabla ya kuvunjwa mwaka 2016 na utawala wa awamu ya 5, ameshirikiana na Ruge na Joseph Kusaga Mkurugenzi wa Clouds Media Group wamekuwa ni wafanyabiashara walioungana (Business Partners) katika burudani na kuinua vijana katika muziki kupitia club hiyo ya kisasa iliyopata kutokea Tanzania na kwa asilimia kubwa ya wasanii wa Tanzania wamefanya shows pale wao ni mashahidi.

Wasanii wengi walikuwa wakifanya shows zao pale ikiwa ni club ya kisasa nchini iliyojulikana pande zote za Dar es salaam, Tanzania yote na Áfrika Mashariki, wageni wengi walipofika Tanzania walipenda kutembelea Club Billicanas na Much More Restaurant kupata vyakula, vinywaji, burudani na kukutana na wasanii mbalimbali ikiwa ni sehemu yenye usalama mkubwa, parking kubwa ikiwa ni club pekee ambayo haikuwahi kupata kashfa yoyote wala majanga huku viongozi wengi wa kiserikali wakipenda kufika hapo wakiamini ni sehemu salama sana.

Kupitia Club Billicanas na kupitia Mbowe na Ruge asilimia kubwa ya wasanii wamefanya kazi ndani ya Club Billicanas, Ruge na Mbowe walikuwa ni ndege wanaofanana ndio maana waliruka pamoja ingawa mmoja ni mwanasiasa/mfanyabiashara na mwingine alikuwa ni mfanyabiashara 100% katika tasnia ya habari, burudani na michezo.

Kwa ufupi wanasiasa waliopitia mikononi mwa Mbowe akawaamini na kuwaacha wafanye kazi na leo ni wakubwa, kwa kuwataja wachache ni pamoja na Zito Kabwe, Halima Mdee, John Mnyika, Joseph Mbilinyi (Sugu), Joseph Haule (Profesa Jay) John Heche, Ester Bulaya, Godbless Lema, Peter Msigwa, Meya Boniface Jacob, Ester Matiko na wengine wengi sana ambao ni matunda yake ambao ni wengi siwezi kumaliza nikianza kuwataja hapa.

Baadhi ya Wasanii waliopitia mikononi mwa Ruge nakufanya nao kazi ni Sugu ambae mara ya mwisho alifanya show ya Fiesta Mbeya akiwa kwa karibu kabisa na Ruge.
Profesa Jay, Lady Jaydee, Ray C, Mwana FA, AY, Lina, Ruby, Nandy, Mwasiti, Amin na wengine wengi ambao siwezi kumaliza leo nikianza kuwataja hapa.

Hawa ni watu ambao wanaomiamini katika uwezo wa mtu binafsi hawaamini sana katika vyeti ingawa wanasisitiza sana elimu na kusaidia kulipia watu wasio na uwezo ada za shule, wakisisiti kwamba elimu ni muhimu itakusaidia kureason na kupambanua mambo hivyo usiache elimu iende zake, ila wakati wanafanya kazi na wewe hawaangalii elimu sana, bali wanaangalia uwezo wako kwenye kufikisha ulicho nacho kwa watu na jinsi utakavyotumia uwezo wako kuisaidia jamii yako kupitia kipaji chako, unaweza ukaona kuna wasomi maprofesa lakini kupitia elimu zao kubwa wamekuwa ni mizigo kwa taifa badala ya faida ndani ya jamii, hapo ndipo unapoona unaweza ukawa na elimu ukashindwa kuitumia na mwenye elimu ya kawaida akakuzidi kureason mambo na kutatua jambo kwa manufaa ya wengi.

Mbowe na Ruge ni watu ambao ukicgunguza ukafanya utafiti wako mdogo utagundua ni watu ambao wanapendwa sana na watu wakiwemo wale wanaoamini katika mambo wanayoyafanya miongoni mwa jamii kwa ushawishi wao.


Ni watu ambao kwa hali zao za kifedha na kwa kuwa sio wabinafsi, pasipo na shaka wangeweza wakakaa na kuendelea kutumia pesa zao bila kubugudhiwa na kuacha kutaka kuisaidia jamii kutoka sehemu moja ama nyingine.

Mbowe amekuwa mpigania usawa na haki katika Taifa hili atakaebisha au kukataa hata mawe yatasema hata Yesu na Mtume Muhammad walihubiri neno la Mungu lakini walipingwa, kupingwa kupo kote duniani, na watakaopinga ni opponents sababu hata Ruge huyu kuna ambao wanampinga, sio lazima upendwe na wote au uchukiwe na wote, tenda wema nenda zako life is too short .

Tumsifu kabla hajaondoka, sio aondoke ndio tumsifu, ambapo hatoweza kuona wala kusikia.

Ruge amesaidia jamii husasani vijana kwa kuwafungulia dunia kama alivyokuwa akisema katika kauli mbiu mbalimbali za fursa, leo ameondoka anapewa sifa ambapo hawezi kuona wala kusikia.

Hivi ndivyo navyoweza kuwalinganisha Mbowe na Ruge katika maisha yao.

Namsifia Mbowe leo, kwa kusaidia watu wengi, najua akitoka Segerea atasoma ujumbe huu nakuona sifa hizi, isije ikatokea kama ilivyo kwa Ruge nilishindwa kumpa sifa zake hata kwa kumtumia ujumbe kwa simu yake huku nikiwa na namba yake, amefariki ndio naona umuhimu wa kumpa sifa zake lukuki, kwa sasa nikiwa chini ya Boss mwingine mwenye kaliba kama ile ile ya Ruge nampa sifa zake.

Mbowe is so kind, very intelligent, hero of this good fight, sent from heaven to start this war against lawlessness in the country.

Watajaribu kukata miti lakini mbegu zishadondoka chini katika udongo wenye rutuba na kuota tena, you changed people's mind sets, you sow the right seeds in us, prints are in our hearts no body can see from outside, you did the right thing in your life time though you are behind bars by now but i will never be a snitch and turn my back on you.

Salute Kamanda Mbowe. Aluta Continues....
Sina cha Kuongeza


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia vizuri tukio mubashara la kuaga mwili wa marehemu pale ukumbini. JPM alikuwa wa kwanza. Baada ya kuaga na kusali kidogo, alienda kuwapa Mikono ndugu wa marehemu na baadaye viongozi. Kama umeona vizuri ndugu mmoja mdada hakumaindi kabisa Pole ya JPM na akampa JPM mkono wa kushoto na kumkatia jicho la chuki. Hamkuona wakuu hilo?!?
Nimeliona lakini sio rahisi MTU amfanyie Rais wa nchi kituko kama hicho.
Lazima atakuwa ana matatizo kwenye mkono wa kulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kampeni za ndani ya chama zimeanza, naona amejipanga kuendelea na ufalme wake wa uenyekiti, nendeni kwenye pointi moja kwa moja acheni kuzunguka. Mmsheanza kumuonea wivu marehem sifa anazopewa na nyie mnazitamani dah! Wakifanana so what
 
Umeongea utoto wa hali ya juu, kwa hiyo serekali kazi yake ni kufanyizia watu wenye stress zao? Sasa tofauti ya serekali na huyo muhuni iko wapi? Serekali imeshindwa kutoa ajira wala kuongeza mishahara ila muda wa kutunza Mikanda ya watu wasiojipendekeza kwa rais inao ili wawafanyizie. Halafu ww uliyekuja na huu upuuzi ni mtu mwenye elimu yako!! Mkiambiwa kuwa ndio mmepiga Lissu risasi mnatoka mishipa kutaka ushahidi wakati tabia zenu ziko wazi na mnajisahau na kuzikiri hadharani.
Inasikitisha sana
 
  • Thanks
Reactions: BAK
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom