Mtoto wa Rais Museven afikishwa mahakamani kwa kuutaka Urais wa Uganda

Shida ipo ndiyo maana haujawahi kusikia mwanajeshi katangaza kuutaka urais huku bado anashikilia madaraka ya jeshi.

Yaani Kanali akiwa bado jeshini aruhusiwe kugombea urais, kisha akaukosa urais, akishaukosa anarudi tena kua Kanali na anatakiwa amtii aliyekua mpinzani wake.

Chief unakomalia hayo mawazo yako kwa kutumia doctrine ipi ya demokrasia?


Si ndio maana nikakuambia wewe unafikiri "negative", yaani Kanali au generali akigombea uraisi na akishindwa na akirudi jeshini eti anaweza kupitia jeshi akahamasisha Mapinduzi dhidi ya aliyeshinda ambaye atakuwa labda ni Amiri jeshi wake !!!---- hiyo ndiyo fallacy potofu na uoga, kwani yeye hajui kwamba Amiri jeshi ndiye top kuliko yeye?? kwani ni lazima afanye mapinduzi au uasi kupitia jeshi??, kwani Amiri jeshi hawezi kumuondoa madarakani anapoona inafaa?? ni mapinduzi mangapi yamefanywa au yameongozwa na wasiokuwa wanajeshi??--- kama Generali anayo dhamira ya kutangaza nia na anazuiwa na sheria kutotangaza je atashindwaje kuhamasisha mapinduzi kupitia jeshi ili atimize nia yake ya kuwa raisi??!! maana hiyo ndio hofu yenu lakini mnashindwa kuitafakari kwa mapana na marefu.

Mkuu msingi mkubwa unaoweza kuepusha mapinduzi mnayoyaogopa ni NIDHAMU NA HESHIMA kutoka kwa hao wanajeshi na sio kitu kingine kwani jeshi (viongozi wa jeshi) lisilokuwa na nidhamu linaweza kufanya mapinduzi, na imeshatokea, wakati wowote na sio lazima kupitia kutangaza nia, nidhamu jeshini ndio moyo wa jeshi na sio the otherwise.
 
Si ndio maana nikakuambia wewe unafikiri "negative", yaani Kanali au generali akigombea uraisi na akishindwa na akirudi jeshini eti anaweza kupitia jeshi akahamasisha Mapinduzi dhidi ya aliyeshinda ambaye atakuwa labda ni Amiri jeshi wake !!!---- hiyo ndiyo fallacy potofu na uoga, kwani yeye hajui kwamba Amiri jeshi ndiye top kuliko yeye?? kwani ni lazima afanye mapinduzi au uasi kupitia jeshi??, kwani Amiri jeshi hawezi kumuondoa madarakani anapoona inafaa?? ni mapinduzi mangapi yamefanywa au yameongozwa na wasiokuwa wanajeshi??--- kama Generali anayo dhamira ya kutangaza nia na anazuiwa na sheria kutotangaza je atashindwaje kuhamasisha mapinduzi kupitia jeshi ili atimize nia yake ya kuwa raisi??!! maana hiyo ndio hofu yenu lakini mnashindwa kuitafakari kwa mapana na marefu.

Mkuu msingi mkubwa unaoweza kuepusha mapinduzi mnayoyaogopa ni NIDHAMU NA HESHIMA kutoka kwa hao wanajeshi na sio kitu kingine kwani jeshi (viongozi wa jeshi) lisilokuwa na nidhamu linaweza kufanya mapinduzi, na imeshatokea, wakati wowote na sio lazima kupitia kutangaza nia, nidhamu jeshini ndio moyo wa jeshi na sio the otherwise.
Nimekuuliza unatumia nadharia gani ya demokrasia kuhalalisha hiki unachokikazania.

Nitajie mapinduzi ambayo jeshi halikuhusika na yalifanikiwa huku mtawala akiwa na jeshi lake lililojitosheleza.

Unajua Hitler kashindwa kupinduliwa mara ngapi? Castro je?
 
Nimekuuliza unatumia nadharia gani ya demokrasia kuhalalisha hiki unachokikazania.

Nitajie mapinduzi ambayo jeshi halikuhusika na yalifanikiwa huku mtawala akiwa na jeshi lake lililojitosheleza.

Unajua Hitler kashindwa kupinduliwa mara ngapi? Castro je?


Hizo nadharia za kidemokrasia unazohitaji zimewekwa au kupangwa na nani??, sio watu waliozipanga??, mimi na wewe sio watu wenye akili ya kutafakari tunahitaji nini??---- au ni Mungu ndiye kazipanga hizo nadharia kiasi kwamba zisiweze kubadilika au kubadilishwa kulingana na mahitaji ya wakati??.

Sheria kila uchao zinabadilishwa kukidhi mahitaji na sheria ya kuwazuia wanajeshi kutangaza nia nayo yaweza kubadilishwa kwani hizo zimewekwa na viongozi (under auspices) ili kulinda mamlaka yao jinsi baadhi ya katiba zilivyokuwa na sheria zinazosaidia viongozi waliomo madarakani kulinda mamlaka yao, hofu mliyonayo ni sawa na ile hofu iliyokuwepo/iliyopo ya mgombea huru wa uchaguzi (an independent electrol candidate) ambapo Rev, mchungaji Mtikila alipeleka kesi mahakamani na akashinda lakini hadi leo mamlaka zimeshikwa na woga kuruhusu mgombea huru, leo hii mamlaka zime blind fold akili zetu kutuaminisha kwamba ni haramu na hatari kwa mwanajeshi kutangaza nia!!----- kama tunataka katiba mpya inayoendana na wakati kwanini baadhi ya sheria gandamizi nazo zisiondolewe au kubadilishwa ili ziendane na wakati??---- this is not a matter of any democratic theory but a time necessity and rationality.

Binadamu ni muoga wa "mabadiliko na kifo" vitu ambavyo ni muhimu na na haviepukiki katika maisha yake.
 
Hizo nadharia za kidemokrasia unazohitaji zimewekwa au kupangwa na nani??, sio watu waliozipanga??, mimi na wewe sio watu wenye akili ya kutafakari tunahitaji nini??---- au ni Mungu ndiye kazipanga hizo nadharia kiasi kwamba zisiweze kubadilika au kubadilishwa kulingana na mahitaji ya wakati??.

Sheria kila uchao zinabadilishwa kukidhi mahitaji na sheria ya kuwazuia wanajeshi kutangaza nia nayo yaweza kubadilishwa kwani hizo zimewekwa na viongozi (under auspices) ili kulinda mamlaka yao jinsi baadhi ya katiba zilivyokuwa na sheria zinazosaidia viongozi waliomo madarakani kulinda mamlaka yao, hofu mliyonayo ni sawa na ile hofu iliyokuwepo/iliyopo ya mgombea huru wa uchaguzi (an independent electrol candidate) ambapo Rev, mchungaji Mtikila alipeleka kesi mahakamani na akashinda lakini hadi leo mamlaka zimeshikwa na woga kuruhusu mgombea huru, leo hii mamlaka zime blind fold akili zetu kutuaminisha kwamba ni haramu na hatari kwa mwanajeshi kutangaza nia!!----- kama tunataka katiba mpya inayoendana na wakati kwanini baadhi ya sheria gandamizi nazo zisiondolewe au kubadilishwa ili ziendane na wakati??---- this is not a matter of any democratic theory but a time necessity and rationality.

Binadamu ni muoga wa "mabadiliko na kifo" vitu ambavyo ni muhimu na na haviepukiki katika maisha yake.
Kwahiyo mkuu unataka demokrasia iwaruhusu wanajeshi kutangaza kuutaka urais.

Lakini hautaki tuhukumu doctrine inayoweza halalisha mwanajeshi kutangaza kuutaka urais?

Nimekuuliza kama unajua sheria ya Tanzania inazuia baadhi ya watumishi wa umma kua wanachama wa vyama vya siasa
 
Ungeniambia jeshini hawana mahakama hapo ungekuwa na hoja lakini kama wanayo mahakama kwa ajili ya kupata haki zao kwanini sasa wanajeshi wasipate haki katika kutangaza nia??!!--- yaani kuna mahakama za kiraia za kutoa haki kwa raia na zipo mahakama za kijeshi za kutoa haki kwa wanajeshi sasa kama ni haki kwa raia kutangaza nia iweje isiwe haki kwa mwanajeshi kutangaza nia???!!

Hapa tunazungumzia haki ya mtu yeyote kutangaza nia ya kugombea urais tupilia mbali wadhifa wake.
Kuna namna sheria hutafsiriwa kutokana na nchi ama taasisi husika. Kwa mfano, hapa kwetu askari hawaruhusiwi kuwa wafuasi wa chama cha siasa.
Hapo sasa swala lako la haki ni mjadala nwingine,sheria zinasema hivyo.
 
Kuna namna sheria hutafsiriwa kutokana na nchi ama taasisi husika. Kwa mfano, hapa kwetu askari hawaruhusiwi kuwa wafuasi wa chama cha siasa.
Hapo sasa swala lako la haki ni mjadala nwingine,sheria zinasema hivyo.


Na mimi msingi wa hoja yangu ni kuondoa sheria zinazonyima baadhi ya watu (kada fulani) haki, haki ambayo watu wengine wanazo, yaani mtu ananyimwa haki fulani kwakuwa tu anacho kitu fulani kinachowapa hofu watu wengine na kitu chenyewe ni kwa maslahi ya watu haohao mfano kazi ya polisi nk. Yaani upolisi inakuwa mwiko au laana kutopata haki fulani.
 
Na mimi msingi wa hoja yangu ni kuondoa sheria zinazonyima baadhi ya watu (kada fulani) haki, haki ambayo watu wengine wanazo, yaani mtu ananyimwa haki fulani kwakuwa tu anacho kitu fulani kinachowapa hofu watu wengine na kitu chenyewe ni kwa maslahi ya watu haohao mfano kazi ya polisi nk. Yaani upolisi inakuwa mwiko au laana kutopata haki fulani.
Hukubainisha hili mwanzoni,hivyo, nikakujibu kama ulivyohoji. Kujadili haki na sheria kuhusu jeshi huu ni mjadala mwingine. Kilichofanyika ni utekelezaji wa kanuni tulizojiwekea.

Hapo kuna description na prescription. Kujadili vile mambo yalivyo na kujadili vile mambo yalivyopaswa kuwa.
 
Hukubainisha hili mwanzoni,hivyo, nikakujibu kama ulivyohoji. Kujadili haki na sheria kuhusu jeshi huu ni mjadala mwingine. Kilichofanyika ni utekelezaji wa kanuni tulizojiwekea.

Hapo kuna description na prescription. Kujadili vile mambo yalivyo na kujadili vile mambo yalivyopaswa kuwa.


Haya wewe unaonaje mambo yanapaswa yaweje kwa hivi sasa ??
 
Back
Top Bottom