Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa. Mi pia nimefungua kwa nguvu zote kujua gereza atakalotumikia adhabu huyo nyani.Nimekuja mbio nikajua huyo mtoto wa nyani wa porini alikuwa anataka nyapu ya binadamu
Huyu jamaa alikuwa anatafutwa sana na raia.DAR: Mahakama ya wilaya Ilala imemhukumu kifungo cha maisha jela Baraka Joshua maarufu 'Mtoto wa Nyani' kwa hatia ya kubaka na kulawiti mtoto wa miaka 9
Huyu Dogo namjua nimesikitika kwa alichokifanya japo ilikuwa ni ngumu kwake kuongea alikuwa bado hayupo vzr sana alikuwa anameza dawa zake za akiri km sijakosea ila yule mlezi wake alikuwa anamtumia km kitegauchumi
Huyu Dogo baada ya kutolewa polini alikabidhiwa kwa mlezi wake alikuwa anaishi tabata Kimanga watu walikuwa wanampa misaada kutokana na historia ya huyo nyani mtuKitega uchumalikuwa ubaka au?
Nyani mwenyewe yuko wapi
Huyo mtoto alilelewa na Nyani kwa miaka 5 mfululizo!Nimekuja mbio nikajua huyo mtoto wa nyani wa porini alikuwa anataka nyapu ya binadamu
Haya bana,umenipata...Yaani mmeanza kuweka headlines kama za magazeti ya udaku humu JF!!DAR: Mahakama ya wilaya Ilala imemhukumu kifungo cha maisha jela Baraka Joshua maarufu 'Mtoto wa Nyani' kwa hatia ya kubaka na kulawiti mtoto wa miaka 9