Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Hebu tuchukulie kwamba, ukiwa umekaa nyumbani kwako, anafika mgeni. Huyu mgeni ni mtoto wa miaka 10 hivi. Mkeo anamkaribisha na anaingia sebuleni ulipo.
Anasalimia na baada ya salaam, mkeo anamuuliza shida yake. Kumbuka, mkeo ndiye aliyemkaribisha na kumuuliza maswali. Mtoto ni mtoto, kwani anasema wazi kwamba , ‘amekuja kwa baba yake' ambaye ni wewe.
Ina maana wewe ndiwe baba yake! Hukuwa hata siku moja maishani mwako umefikiria kwamba, ulikuwa na mtoto wa nje. Ghafla anakuja huyu mtoto na kusema mbele ya mkeo kwamba ni mwanao.
Hebu niambie, je ungekuwa ni wewe ungefanyaje?
Anasalimia na baada ya salaam, mkeo anamuuliza shida yake. Kumbuka, mkeo ndiye aliyemkaribisha na kumuuliza maswali. Mtoto ni mtoto, kwani anasema wazi kwamba , ‘amekuja kwa baba yake' ambaye ni wewe.
Ina maana wewe ndiwe baba yake! Hukuwa hata siku moja maishani mwako umefikiria kwamba, ulikuwa na mtoto wa nje. Ghafla anakuja huyu mtoto na kusema mbele ya mkeo kwamba ni mwanao.
Hebu niambie, je ungekuwa ni wewe ungefanyaje?