Watapiga kura za maruhani na kuziwekea ktk masamduku. Ccm hawana mwiko.hao unawataja hapa wameiandikisha huko au ndo mnaandaa lawama?
Watapiga kura za maruhani na kuziwekea ktk masamduku. Ccm hawana mwiko.hao unawataja hapa wameiandikisha huko au ndo mnaandaa lawama?
mmmmh sijui kama inawezekana hivyo.Watapiga kura za maruhani na kuziwekea ktk masamduku. Ccm hawana mwiko.
Itakuwa vizuri Sana isipowezekanammmmh sijui kama inawezekana hivyo.
Tuliza mzuka kijana.....Maalim akitangazwa mshindi bara kutalipuka na shangwe na sherehe kuliko visiwani. Watu bara wataenda kupiga kura huku wakirukaruka.
Halafu mnashangilia ushetani kama huu kuendelea duniani .Unaota mchana, hivyo sivyo mchezo ulivyo.
Lazima Raisi wa Zanzibar atokee chama former ASP(CCM)
Sharti la pili awe na damu ya utanganyika asilia
Sharti la tatu asizaliwe Pemba au kutoka Pemba.
Na hayo sio masharti ya CCM la hasha, haya ni masharti ya waliounda Muungano katika siku 100,wala si Nyerere wala Karume.Waulize Washington au London.
Kila uchaguzi Maalim hapewi ushindi na bado anagangania kugombea mfululizo bila jawabu.
unatakaje sasa?Inasemwa kwamba haki sio tu itendeke bali ionekane inatendeka. Kwa hili la Uchaguzi huru na wa haki je
Nchi imeharibiwa sana hakuna utawala wa haki na sheria. Tusiwe washabiki wa dhulma; ni makosa makubwa, ni sawa kuanza kula nyama ya Binadamu, haitaishia hapo! Ukimaliza wapinzani utaanza kudhulumu ccm wenzio, kwani hatujashuhudia haya?Aliyevaa koti ni Azizi Hamid Mahmoud, mtoto wa Jaji Mkuu Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)
Huyu Azizi ambaye ni Mwanasheria, ndiye mshauri wa kisheria wa Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM.
Inasemwa kwamba haki sio tu itendeke bali ionekane inatendeka. Kwa hili la Uchaguzi huru na wa haki je?
Kwani chaguzi zinafanyika siku tofauti tofauti ?Maalim akitangazwa mshindi bara kutalipuka na shangwe na sherehe kuliko visiwani. Watu bara wataenda kupiga kura huku wakirukaruka.
Dr Hussein Mwinyi atajuta kwa nini alikubali kuteuliwa kuwa mgombea wa ZNZ. Kwanza Dr Hussein kwa haiba yake si mtu anayeziweza siasa za visiwani. Pili wana CCM ZNZ pia hawamkubali kwa kuwa hakuwa chaguo leo. ZNZ yenyewe haijui kwa vile 90% ameishi Tanganyika ambako amewahi kuwa Mbunge wa Mkuranga.Aliyevaa koti ni Azizi Hamid Mahmoud, mtoto wa Jaji Mkuu Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)
Huyu Azizi ambaye ni Mwanasheria, ndiye mshauri wa kisheria wa Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM.
Inasemwa kwamba haki sio tu itendeke bali ionekane inatendeka. Kwa hili la Uchaguzi huru na wa haki je?
Sijakuelewa mkuuKwa faida ya nani? Na ili iweje mwisho wa siku?
Tatizo wewe unalichukulia hili jambo juu juu .Laiti ungejua nani alilazimisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar .Hao wanaotajwa kwamba ndio waasisi wa Muungano ni kiini macho.Halafu mnashangilia ushetani kama huu kuendelea duniani .
CCM ni chama cha kilusifer .
Marekani taifa la Mabeberu lilojaa ubaguzi mkubwa lakini wanajitahidi kuupunguza kwa kila namna mpaka waafrika wanashika nchi na Kuongoza majimbo mengi sembuse CCM chama cha wezi.
Haki haipatikani bila kila upande kulia na kuona adha ya dhulma.
Hata Mungu hajawahi kuruhusu duniani wanadamu kupata raha kwenye dhulma .Kamwe duniani hapatakua na amani bila haki. Msitegememe rasilimali alizoziumba Mungu kuzitumia peke yenu kwa kudhulumu wengine haitakuja kudumu hiyo dhulma etu Zanzibar yetu . CCM haijaumba hata Chawa sembuse Kisiwa chenye utajiri.
Waarabu na Waafrika Zanzibar walihamia.
Hakuna Mwafrika asili mwenye hulka ya kukaa kisiwani pasipo na misitu wala Mbuga za kuchunga ng'ombe.
Haiwezekana Watu wapiganie Uhuru kudai haki na kisha wao waendeleze dhulma halafu waitegemee kutawala. Shetani na dhulma zake kutawala duniani sasa basi.
Ndio mkuu uchaguz wa Zenji 25th OctoberKwani chaguzi zinafanyika siku tofauti tofauti ?
Wanayafanya hayo yote kwa faida ya nani? Na ili iweje?Sijakuelewa mkuu
Kuelendelea kupiga pesaWanayafanya hayo yote kwa faida ya nani? Na ili iweje?
Sharti lako la tatu ni big NO , Dr. Shein kwao ni Pemba. Usipotoshe watu bwamkubwa.Unaota mchana, hivyo sivyo mchezo ulivyo.
Lazima Raisi wa Zanzibar atokee chama former ASP(CCM)
Sharti la pili awe na damu ya utanganyika asilia
Sharti la tatu asizaliwe Pemba au kutoka Pemba.
Na hayo sio masharti ya CCM la hasha, haya ni masharti ya waliounda Muungano katika siku 100,wala si Nyerere wala Karume.Waulize Washington au London.
Kila uchaguzi Maalim hapewi ushindi na bado anagangania kugombea mfululizo bila jawabu.
Kipindi hiki ukiongea jambo lolote negative kuhusu uchaguzi utajizolea likes za kutosha hata kama hakuna uhalisiaKwa kuongezea ni kwamba Kuna wataslam wa kuiba kura ambao 2015 walikuwa kwenye nyumba masaki wakibadilisha kura zilizotoka nchi nzima , wamepitishwa bila kupingwa kwenye ubunge ili waende kusaidia goli la mkono Zanzibar this is from reliable source.
MmhMaalim akitangazwa mshindi bara kutalipuka na shangwe na sherehe kuliko visiwani. Watu bara wataenda kupiga kura huku wakirukaruka.