kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,066
- 1,315
Habari zenu wanajamvi,
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada mwezi wa kumi mwaka huu niliamishiwa kikazi mkoani Manyara Babati mjini.
Nilihangaika kutafuta makazi nikafanikiwa lakini sasa mtoto wa mwenye nyumba ni mzuri balaa nimevumila mwezi mzima uvumilivu ukanishinda nikaona nimuombe namba ya simu akanipa.
Sasa jana nimemuita chumbani kwangu akaja nilichanganyikiwa sana nahisi leo hii lazima nipate papuchi yake hata iweje.
Nisaidieni niweze kutoka katika jambo hili wakuu
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada mwezi wa kumi mwaka huu niliamishiwa kikazi mkoani Manyara Babati mjini.
Nilihangaika kutafuta makazi nikafanikiwa lakini sasa mtoto wa mwenye nyumba ni mzuri balaa nimevumila mwezi mzima uvumilivu ukanishinda nikaona nimuombe namba ya simu akanipa.
Sasa jana nimemuita chumbani kwangu akaja nilichanganyikiwa sana nahisi leo hii lazima nipate papuchi yake hata iweje.
Nisaidieni niweze kutoka katika jambo hili wakuu