Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
result za form two ni majinaHizi no result za wapi zinazotoka na majina ya watainiwa badala ya number zile za NECTA sijaiona majina
Kumbe hapo ni halali maana shule kama hiyo kwa form 2 unaweza kuta mwanafunzi wa mwisho ana division 1 ya 8
king musukuma unapenda sifa!!! umeona uturingishie hadi matokeo ya mwanao?Wakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
View attachment 2083760
Kupata" A "form two siyo story, Hizo "A" zipo za kutosha hamna cha ajabu cha kufanya uje ulete uzi hapa.ulitaka apate zero ndio uone ajabu?
Basi wangepata wanafunzi wote nchi nzimaKupata" A "form two siyo story, Hizo "A" zipo za kutosha hamna cha ajabu cha kufanya uje ulete uzi hapa.
Angepata "zero" ndo ningeshangaa...
Hebu kwanza tupate aina ya maswali yaalioulizwa kwanza,isije kuwa ni Yale ya ;a) sita,b)kumi,c)name,,,,na jibu ni a na umepata AWakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
View attachment 2083760
Hebu kwanza tupate aina ya maswali yaalioulizwa kwanza,isije kuwa ni Yale ya ;a) sita,b)kumi,c)name,,,,na jibu ni a na umepata A
sidhaniHivi elimu bado ni bure kweli??!