kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Kwa amri yake ya 'wapigwe tuu,tumechoka!'Ambayo naamini askari waliotekeleza mateso,unyanyasaji,udhalilishaji na mauaji ya wananchi walikuwa wakitii amri hiyo.Ataponaje katika hili sakata ambapo wabunge wanajadili kwa hisia kali sana.Fuatilia mjadala unaendelea
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums