Mtoto wa mkulima mfalme wa nyuki: Atapona katika sakata la kamati ya Lembeli?

kibaravumba

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
6,636
7,005
Kwa amri yake ya 'wapigwe tuu,tumechoka!'Ambayo naamini askari waliotekeleza mateso,unyanyasaji,udhalilishaji na mauaji ya wananchi walikuwa wakitii amri hiyo.Ataponaje katika hili sakata ambapo wabunge wanajadili kwa hisia kali sana.Fuatilia mjadala unaendelea

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mi nategemea mwigulu chemba akipata nafasi ya kuchangia ..,,ateme kohozi juu ya serikali yake
 
Kwanza napenda kuwashukuru ndugu zangu kwa maoni yenu juu ya hili swala. nadhani tatizo letu kubwa hasa nchi maskini ni kuchanganya maswala haya mawili:- Siasa na Uchumi.
Hata kama wenzetu nchi zilizoendelea wao huchanganya basi utakuta siasa huingizwa tu pale panapoonekana kuna faida kwao ya kiuchumi. Uchumi ndio sura ya nchi, uchumi ndio kiwiliwiwli na na roho ya nchi kwa hiyo maamuzi yote ya siasa lazima yawe ktk kuijenga afya ya taifa na sio kinyume..
Ni kosa kubwa kuwa walafi yaani hatuchagui kinachoingia mwilini mwetu na pia ni kosa kubwa kutokula chakula bora (chenye nutrition) kwa sababu ya imani inayotokana na dhana.
Poloz,
Nakubaliana na wewe, binafsi swala la ajira lina uzito mkubwa sana kwa nchi yetu. na kulingana na mfano mdogo wa mwili hapo juu, sidhani kama kati yetu kuna mmoja wetu anayeweza kuwepo hapa na kuyazungumzia haya kama hana kazi! Ni matokeo ya hizo ajira tumeweza kuchagua nini tunachotaka kula ama kuujenga mwili wetu kwa chakula cha aina gani?.... chaguo la chakula halikutangulia kabisa mfuko wetu..yaani mapato yetu.
Kuna mbinu nyingi sana ambazo nashindwa kuelewa kwa nini viongozi (siasa) na wataalam (wachumi) wetu wameshindwa kabisa kuyatatua maswala haya kulingana na mazingira yetu. Sidhani kama elimu yao imeishia ktk kapu la taka na sasa kinachotumika ni ulafi na ubinafsi.
hata hivyo nitazidi kuchangia zaidi mada hii kila tunavyozidi kusonga mbele maanake mwanga wa mwenge wetu wa uhuru bado upo isipokuwa tunaupuuza na kutumia artificial theories ktk pango hili lenye kiza - Utandawazi.

Kwa mambo ya msingi kama hayo hawezi.
 
wabunge wa ccm si waamini kabisa, wangekuwa kama ni wazalendo kweli wangepitisha mabadilko ya katiba mpya. Wengi wanataka umaarufu tu.
 
Kila siku mawaziri wapya leo mnawaomba radhi kina ngeleja, tuwaite wanafiki au
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom