BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Niko hosptali moja hapa Goba naona kilio na simanzi vimetawala.
Nilipouliza baadhi ya ndugu wakasema dada wa kazi alikuwa akimlazimisha mtoto kula mchele ukaingia koo la hewa.
Walipomfikisha wakakuta mtoto bado anahangaika, Hospitali wakajaribu kumsaidia ndipo wakatoa punje kadhaa za mchele wakati huo mama mzazi alishauliza umemlisha nini akajibu uji na maziwa alioachiwa.
Akiwa mapumziko akisaidiwa na hewa mbadala mtoto alikata roho(rip)
Mungu awatie nguvu familia ile naamini haikuwa mapenzi ya dada kufanya hayo kwa makusudi.
Rip Baby Boy
Nilipouliza baadhi ya ndugu wakasema dada wa kazi alikuwa akimlazimisha mtoto kula mchele ukaingia koo la hewa.
Walipomfikisha wakakuta mtoto bado anahangaika, Hospitali wakajaribu kumsaidia ndipo wakatoa punje kadhaa za mchele wakati huo mama mzazi alishauliza umemlisha nini akajibu uji na maziwa alioachiwa.
Akiwa mapumziko akisaidiwa na hewa mbadala mtoto alikata roho(rip)
Mungu awatie nguvu familia ile naamini haikuwa mapenzi ya dada kufanya hayo kwa makusudi.
Rip Baby Boy