Habari mkuu,
Nimebahatika kupata mtoto wa kike mrembo kweli kweli, lakini mpaka Sasa ana miezi 10 lkn ukimwangalia ni kama anamiezi 5.
Bado hajakaza kukaa vizuri, akikaa kwa muda anaanguka, hawezi kutambaa zaidi ya kukaa na kutambaa.
Nahitaji msaada wa kitaalamu ndugu zangu sababu hospital hawana majibu ya kueleweka.
Nimebahatika kupata mtoto wa kike mrembo kweli kweli, lakini mpaka Sasa ana miezi 10 lkn ukimwangalia ni kama anamiezi 5.
Bado hajakaza kukaa vizuri, akikaa kwa muda anaanguka, hawezi kutambaa zaidi ya kukaa na kutambaa.
Nahitaji msaada wa kitaalamu ndugu zangu sababu hospital hawana majibu ya kueleweka.