fredito13
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 213
- 145
Wana JF,
Katika maeneo fulani ya jiji la DSM, kuna mtoto wa mwenye nyumba kabaka 'kichanga' cha mpangaji.
Mchana wa leo, mpangaji akiwa na mtoto mdogo mwenye mwaka mmoja, alikiacha kitoto chake nddani kimelala na yeye kwenda dukani/gengeni kufanya manunuzi! Kwakuwa ni nyumba ya kupanga, yenye watu wengi, mama huyo alirudishia mlango na kutoka akikimbia gengeni!
Kwa muda mfupi aliotoka, alipishana na mtoto wa baba mwenye nyumba, mwenye miaka 8 ambaye baada ya kuona mpangaji hayupo, alipita mpaka kichanga kilipolazwa na kukifanyia mchezo mchafu! Mama kichanga anarudi toka gengeni anakuta bwana mdogo 'anahangaika' juu ya kichanga chake. Ikabidi apige yowe kuomba msaada kwa majirani!
Mpaka muda huu, bado haieleweko mtoto wa kiume achukuliwe hatua gani kwani kwa umri wake huwezi kumfungulia kesi! Baba mwenye nyumba anaomba yaishe ilhali haijajulikana 'kichanga' ameathiriwa kwa kiasi gani!
TAHADHARI: kina mama wenye watoto kuweni makini mnapoacha watoto wenu nyumbani! Dunia imechafuka! Mtoto wa miaka 8 amejifunzia wapi mambo kama hayo? Wazazi tuwe makini na watoto wetu!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Katika maeneo fulani ya jiji la DSM, kuna mtoto wa mwenye nyumba kabaka 'kichanga' cha mpangaji.
Mchana wa leo, mpangaji akiwa na mtoto mdogo mwenye mwaka mmoja, alikiacha kitoto chake nddani kimelala na yeye kwenda dukani/gengeni kufanya manunuzi! Kwakuwa ni nyumba ya kupanga, yenye watu wengi, mama huyo alirudishia mlango na kutoka akikimbia gengeni!
Kwa muda mfupi aliotoka, alipishana na mtoto wa baba mwenye nyumba, mwenye miaka 8 ambaye baada ya kuona mpangaji hayupo, alipita mpaka kichanga kilipolazwa na kukifanyia mchezo mchafu! Mama kichanga anarudi toka gengeni anakuta bwana mdogo 'anahangaika' juu ya kichanga chake. Ikabidi apige yowe kuomba msaada kwa majirani!
Mpaka muda huu, bado haieleweko mtoto wa kiume achukuliwe hatua gani kwani kwa umri wake huwezi kumfungulia kesi! Baba mwenye nyumba anaomba yaishe ilhali haijajulikana 'kichanga' ameathiriwa kwa kiasi gani!
TAHADHARI: kina mama wenye watoto kuweni makini mnapoacha watoto wenu nyumbani! Dunia imechafuka! Mtoto wa miaka 8 amejifunzia wapi mambo kama hayo? Wazazi tuwe makini na watoto wetu!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums