Mtoto wa miaka 31 kudai matunzo kwa baba yake ni sahihi kisheria?

Daraja2

JF-Expert Member
Jul 10, 2017
249
295
Salaam,

Ndugu zangu kwa uelewa wangu mdogo ninajua kuwa mtoto ni chini ya miaka 18 kwa hapa Tanzania.

----Mzazi wa kiume ( baba) anapaswa kumuhudumia mtoto wake mahitaji yake yote muhimu (malazi,mavazi na chakula) kwa 100%

Swali kwa wabobezi wa sheria Tz naomba ufafanuzi je, "mtu kujitokeza akiwa na miaka 31 pia akiwa ni mke wa mtu kudai matunzo kwa baba yake mzazi ni sahihi kisheria !?
 
Kiasili au kibaiolojia---- mtoto anapatikana baada ya mbegu ya uzazi ya baba na mama kuungana.
 
Kisheria mm sijui ila kikawaida mtu anaomba sehemu anayojuwa atapata kitu sasa kama baba yake ana kitu unadhani atamuomba nani.?
 
Sidhani kama unatakiwa kisheria umuhudumie labda anataka apate kitu kwenye urithi huko mbeleni pia awajue na kutambua na ndugu wa upande huo.
 
Ivi kwa Akili zenu mnafikiri kua yule kimada ndio amuache yule aliemuweka kimada na watotowake wale pia awaacha ili akapate matunzo kwa Lowasa.
Na hao watoto wake anataka nani akawatunze huyohuyo Lowasa?
 
Salaam,

Ndugu zangu kwa uelewa wangu mdogo ninajua kuwa mtoto ni chini ya miaka 18 kwa hapa Tanzania.

----Mzazi wa kiume ( baba) anapaswa kumuhudumia mtoto wake mahitaji yake yote muhimu (malazi,mavazi na chakula) kwa 100%

Swali kwa wabobezi wa sheria Tz naomba ufafanuzi je, "mtu kujitokeza akiwa na miaka 31 pia akiwa ni mke wa mtu kudai matunzo kwa baba yake mzazi ni sahihi kisheria !?
Mtoto ni chini ya 18yrs
 
Back
Top Bottom