Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
mtoto wa miaka 15 Frank Makombe anayesoma kidato cha kwanza huko mkoani Iringa amemuua mama yake kwa panga pale alipoenda kuamulia ugomvi kati ya baba na mama yake,siku ya tukio hilo baba yake alikuwa akimpiga mama yake na mtoto huyo alichoka na tabia hiyo ya baba yake akachukua panga kwa ajili ya kwenda kumpiga nalo baba yake ndipo alipotaka kumpiga baba yake akamgeuza mama yake na panga hilo kumpata mama yake kichwani na kutokwa na damu nyingi kisha kufariki,mtoto huyo amekamatwa na atafikishwa mahakamani siku yoyote lakini baba yake amekimbia.chanzo kipindi cha pata pata saa 1 ucku kupitia wapo radio.