Mtoto wa Mashoga (midume iliyo oana)

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,059
4,052
Hivi mashoga wanapo asili (adopt) mtoto tutarajie nini kutoka kwa mtoto huyo atakapo kuwa mtu mzima?
 
Natamani kuua tena.
Bora dhambi ya uuaji kuliko hiyo ya kubashiana halafu mnanunua watoto. Sijui mnataka kuwafundisha noini na kuleta kizazi gani kijacho
 
Inabidi uwasiliane na sir elton john ndio atakuambia anamfundisha nini yule mtoto aliyemwasili
 
Kuvumiliana licha ya tofauti zetu ndio nguzo muhimu ya ubinadamu duniani, ni shoga ndio anabaki ni binadamu kama binadamu mwingine.
 
.....nathani ule msema wa kithungu,...like faza like son or viisvesa hapo haupo..
 
Kwa kweli hukumu inayotokana na hivi vitendo sijui kama inaelezeka. Kilichobaki ni kumwomba mungu atuepushe na hii hali
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom