real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
KISUTU, DAR: Mtoto wa marehemu Chacha Wangwe, Bob Wangwe ahukumiwa kifungo cha mwaka 1 na nusu jela au faini ya Sh. Milioni 5 kwa makosa ya mtandao.
Wetetezi wa Haki za Binadamu pamoja na familia wanashughulikia kulipa faini.
Wakili wake alikuwa Dkt. Onesmo Kyauke
Wetetezi wa Haki za Binadamu pamoja na familia wanashughulikia kulipa faini.
Wakili wake alikuwa Dkt. Onesmo Kyauke