Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
kuumbeeee..............ndo maana yamekukuta yalokukutaaa...................................pole wee!
haya limeze hilo maana ushalikoroga ati!!!
pia nakushauri tu uanze kufikiria vasectomy mapeema kabla hujavamia wengine maana si tayari unao watoto wa kutosha??? mpka wengine unataka kususiwa kisa matumizi!!!!!! peleka matumizi!!!!
kwa mujibu wa avata yangu nikisema wa wapi ntaundiwa tume bure!!! na hii sio sredi ya kunifanya niundiwe tume!!!
:A S soccer::A S soccer::A S soccer::A S soccer::A S soccer::A S soccer::A S soccer::A S soccer::A S soccer::A S soccer:
paloma,nakuundia tume kwa kukataa kusema wewe wa wapi!mwenyekiti wa tume mimi mwenyewe,katibu mi mwenyewe,mweka hazina mi mwenyewe sihitaji msaidizi,mjumbe no 1 mpaka 10 mimi mwenyewe!