Mtoto wa Magufuli sijui alifikaje Chuo Kikuu?

Status
Not open for further replies.
Kama kuna watu na Viatu basi wewe FIATU, hivi hupigi hata kahisabati kadogo tu, hivi kama alirisiti form 3 ingekuwa 2012, hivyo kumaliza form 4 2013, na form 5&6 2014/2015 na mwaka huu 2016 angekuwa first year chuo kikuu, sasa imekuaje anasoma UDOM mwaka 2?

Nimekupa kick kukujibu siku nyingine wewe wa kuchapwa fumbafu thanaa ehee ehee
samahani mkuu hivi ku resit ndo kurudia darasa ama ukiresit lazima uanzie form three?? kuna shule nazifaham hua wana utaratibu flan unasoma masomo ya form v huku unarisit form iv (siwezi kuzitaja) ukipata credit zako unaunganisha form six ila ukikosa unabakia form v huku ukiendelea kurisit ila unasoma kama private candidate.. best explanation kwa huyo dada labda atakua alitumia huo utaratibu akapata credit wakati huo huo tayari ameshasoma form five kwaiyo akaingia form six moja kwa moja akafanya mtihani kisha akasoma cheti kwa mwaka mmoja (labda ndo maana ikabid apitie NACTE badala ya TCU) ndo maana leo yupo second year chuo kikuu. kuhusu kusoma bcom inawezekana cheti alisomea mambo ayo ama alikisafisha cha form four baada ya kurisit.. kuna explanation nyingi sana za kwanini awe mwaka wa pili isipokua mi namshauri yeye ama watu wake wa karibu asijisumbue kujibu ama kuweka kumbukumbu sawa kuhusiana na huu "udaku" make hua ni adhabu nzuri sana kwa mpumbavu unapoamua kukaa kimya kama husikii anachoongea.. samahani kama nimevuka red lines za watu mniwie radhi
 
Hata hii kama ni kweli, ina harufu ya ufisadi. Acha tusikie wengine watakaokuja na utetezi. Lugumi si inashughulikiwa na kamati ya bunge?
Kwani hata kama ni kosa unadhani litaangukia wapi zaidi ya TCU na HESLB ambako tayari washatumbuana!!
 
Huyu aliye extract hizo data kwa lengo la uchonganìshì kati ya rais na wananchi lazima atakuwa mtumishi wa NACTE. These are confidential data. Sheria ya mtandao ichukue mkondo wake. Vyombo vya dola vifanye kazi yake.

Mods wa Jforums wawe makini kwani nao sheria inaweza kuwahusisha kama fascilitetors.
Kojoa ukalale
 
Hivi mentor wa Mheshimiwa ni nani?kama ni yule aliyetuita mabwege pale jangwani basi sitashangaa tena na hii trend ya kauli za Mheshimiwa.Aachane nae atamharibu.
 
Jamaa kakurupuka mchezo umegeukia upande wake. Jesca mbona atateseka sana UDOM akiwa ni klaza katika ubora wake kwa mujibu wa rais.
 
Nyie Changieni lakini Sheria ya Mtandaoni nayo inawasubiri uzi huu hadi kumarizika kujadiliwa itaondoka na wengi,Maana watu wanachangia kwa jaziba sana, Kisa Wanafunzi wa UDOM, Binafsi, Siungi mkono Wanafunzi kumaliza form four na kujiunga na Diploma au Digrii bila kujali ni mtoto wa nani, Haiwezekani kabisa,Kwanza huko ni kushusha hadhi ya Sisi tuliosotea Digrii na Diploma. leo mtu apate Digrii kiurahisi kiasi hiki? Kuhusu kufukuzwa kwao na Wabunge kuanza kuwatetea kwa kuilaumu Serikali, Mimi nawauliza Wabunge wote wa vyama vyote, Je wao kama Wabunge wamewasaidiaje hao Wanafunzi kifedha? kwanini hawakuagiza posho zao zikatwe zielekezwe kwa hao watoto kama kweli wanauchungu? Au kwa kila Mbunge mmoja mmoja kwanini hakwenda kubagua wanafunzi wanaotoka jimboni kwake na kuwasafirisha makwao kwa kutumia pesa za mfuko wa jimbo wanazopewa kila mwisho wa mwezi na badala ya kuilaumu Serikali?Mbona ni wepesi kuwachangia wasanii kuliko wahitaji?
ndugu kwaninin unataka kuiondoa selekali kwenye lawama hizi?, tatizo lipo pale wanafunzi walipo timliwa ki udhalili!. ukumbuke pia kuwa selekali ndo iliyo wapeleka pale ktk jina la mpango maalum, haijalishi kuwa mpango huo ulihujumiwa au laa la msingi ni kuwa walipelekwa!. tukubaliana kuwa hata kama selekali imegundua makosa yoyote yale ktk kupelekwa kwao, haikuwa busara kutatua matatizo hayo kwa namna ilivyo fanya. Ilikuwa na nafasi nyiiingi nzuri za kutatua tatizo hili lakini haikuzitumia.
"mtoto wa nje ya ndoa hana haki!!! na akiambatana na watoto wa kwenye ndoa nao hupoteza haki!!!!!!!............."
 
Tena nyie madogo wa udom inabidi mrudishe hela ya serikali kwa siku ambazo mko nyumbani. Mnasingizia hamkuwa hata na nauli ya kurudi home wakati 21 April mlilipwa boom la siku 60
 
magufuli anahitaji washauri wazuri zaidi ya alionao kwa sasa,........anayo nafasi ya kufanya vizuri lakini............
 
samahani mkuu hivi ku resit ndo kurudia darasa ama ukiresit lazima uanzie form three?? kuna shule nazifaham hua wana utaratibu flan unasoma masomo ya form v huku unarisit form iv (siwezi kuzitaja) ukipata credit zako unaunganisha form six ila ukikosa unabakia form v huku ukiendelea kurisit ila unasoma kama private candidate.. best explanation kwa huyo dada labda atakua alitumia huo utaratibu akapata credit wakati huo huo tayari ameshasoma form five kwaiyo akaingia form six moja kwa moja akafanya mtihani kisha akasoma cheti kwa mwaka mmoja (labda ndo maana ikabid apitie NACTE badala ya TCU) ndo maana leo yupo second year chuo kikuu. kuhusu kusoma bcom inawezekana cheti alisomea mambo ayo ama alikisafisha cha form four baada ya kurisit.. kuna explanation nyingi sana za kwanini awe mwaka wa pili isipokua mi namshauri yeye ama watu wake wa karibu asijisumbue kujibu ama kuweka kumbukumbu sawa kuhusiana na huu "udaku" make hua ni adhabu nzuri sana kwa mpumbavu unapoamua kukaa kimya kama husikii anachoongea.. samahani kama nimevuka red lines za watu mniwie radhi
Mkuu huyu binti hakupita form five na six ila alikwenda certificate moja kwa moja
 
Tena nyie madogo wa udom inabidi mrudishe hela ya serikali kwa siku ambazo mko nyumbani. Mnasingizia hamkuwa hata na nauli ya kurudi home wakati 21 April mlilipwa boom la siku 60
hili ndo tatizo la utendaji usio ratibiwa, ni lini wamegundua kuwa hawakuwa na sifa?? kama walijua hilo ilikuwaje wakapewa pesa??..............ukosefu wa mawasiliano????
 
Fanaya tafiti tena ndiyo urudi na pumba zako. Je kama alilisiti hiyo form four na kupata dalaja la kumuwezesha kusoma certificate to diploma then degree?? Au kama alilisti hiyo form four then akaenda form five na six then akafanya certificate then degreee?? Unajua nyie wengine akili zenu zimekaa kizembe kizembe. Mi kuna kijana namfahamu alipata zero kabisa akaristi akapata div four ya 28, then akaenda certificate then diploma sasa yupo degree. Ktk mazingira hayo ukiangalia ule mwaka aliofanya mtihani wa form IV mara ya kwanza utakuta ana zero, na hiyo scenario inaweza kuwa kwa huyo Jesca. Nitakuita kilaza mpaka utuletee ushahidi kuwa hajawahi kuristi.
Wewe ndio uache hizi pumba zako matak* wewe. Huoni hata unavyotumia neno "kama" mara kibao, sasa si umbeya huo? Hoja hupingwa kwa hoja. Kusema unamfahamu mjinga mwenzio mmoja aliye bypass kama Jesca...hiyo sio hoja, ni ushuzi.
 
heshima itarudi tu!
Raid mwenyewe ni kilaza was kujieleza Kiingereza. Marais karibu 90% was Afrika wanaweza kujieleza kwa lugha ya Kiingereza lakini anyejiita dkt. Aongea Kiingereza bora cha Darasa La Saba, Ndio maana haendi ng,o nchi za ulaya ataumbuka sana. Kilaza No 1
 
Hiyo "academic privacy" ni creation yako mukichwa. Hakuna kitu kama hicho ulimwenguni pote.
Hakuna academic privacy duniani kote? Sasa mtu kama wewe jamani huna hata a smidgen of exposure ya dunia inavyokwenda, tutajadili nini na wewe?

Total waste of time.

Unaficha ili uibe cheti cha mtu mwingine?
Kwa hiyo kubandika matokeo ukutani kumekomesha wizi wa vyeti?

Kama mtoto mburula ni mburula tu...... zamani matokeo yetu yalikuwa public na ndiyo sababu wanafunzi walisoma kuogopa aibu ya ZERO na Div Four.
Ni utafiti gani umeonyesha kwamba watoto wa zamani walikuwa wanafaulu zaidi kwa sababu matokeo yalikuwa made public?

Halafu unawaita watoto mburura. Hivi mtu mwenye akili unaweza kumuita mtoto mburura kwa sababu kapata division IV? Such an unbridled moral decay in the nation.

Unaficha matokeo ili iweje? Hayapaswi kuwa siri kisa mtoto wa Magufuli ana matokeo yake JF na whatsApp.
Unaficha matokeo ili iweje?

Matokeo ni bora akapewa mtu mwenyewe na wazazi wake kwa sababu unapomzodoa mtoto kwa kumtangazia matokeo mabaya unaweza kumuachia trauma ambayo itafanya achukie shule moja kwa moja na asijaribu tena.

Na pia unapomtangaza kwamba alifeli shule, na ukamuita kilaza hadharani, kama mheshimiwa Rais alivyofanya kwa wananchi wake vijana, huyu mtu husaidii kumuachia confidence ya kujaribu mambo mengine nje ya taaluma kwa sababu umesham label kwamba ni failure, kilaza, maishani. It is not very constructive by any stretch.

But more than anything, sio kila aliyefaulu shuleni amekuja kuwa model citizen maishani, kama ambavyo si wote waliofeli shule wanaishia kuwa hohehahe mbeleni. Raia mmoja wa nchi hii ambae alianza kama mpiga shoe shine hakuwa na elimu ya kutisha wakati akiijenga Azam, lakini kwa sasa anamiliki the biggest business conglomerate in the country na anaajiri wasomi wetu wa kila aina. Kama taifa tusidharau makundi ya watu ambao hawakufanya vizuri shuleni, hawajapoteza nafasi ya kuwa hazina kwa taifa.

Mkuu na we ulitaga yai nini? Sisi wenye div 1,2 zetu watuoneshe tu!
Nimefeli shule, ndio, lakini sioni kama hilo linadhoofisha hoja yangu kwamba kubandika matokeo ya watoto na kuwaita vilaza kwenye hotuba za Rais haijengi. Kama ni mikopo na nafasi za vyuo ni wao wenyewe wamewapa, kwa nini Rais awatukane?

Unapotaka kutatua tatizo la uduni wa elimu nchini haisaidii kujikita kwenye kulizodoa kundi la ambao hawakufanya vizuri.
 
kaka, kama hii si kazi ya photoshop basi hili ni balaa sasa aisee. ila sidhani kama ni jambo jema na la busara kuchafua familia ya kiongozi wa ngazi ya juu!!!!!!!!!
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

CSEE 2011 EXAMINATION RESULTS


S1071 ST. MATTHEW'S SECONDARY SCHOOL


DIV-I = 39 DIV-II = 57 DIV-III = 141 DIV-IV = 247 FLD = 8

CNO

SEX

CANDIDATE NAME

AGGT

DIV

DETAILED SUBJECTS

S1071/0001

F

ABELA EUSTACE GABONE

21

II

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-B B/MATH-B COMM-D B/KEEPING-C

S1071/0002

F

ADELAIDE ISSAYA MWASYOGHE

13

I

CIV-B HIST-A GEO-B KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B

S1071/0003

F

AGATA GHATI MICHAEL

28

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D BIO-D B/MATH-D

S1071/0004

F

AGNESS EMMANUEL MSIGWA

29

IV

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-C BIO-D B/MATH-D

S1071/0005

F

AGNESS JOSIA NGUKU

23

III

CIV-C HIST-D GEO-C KISW-D ENGL-B B/MATH-C COMM-D B/KEEPING-D

S1071/0006

F

AMINA DEGGY MWENDA

29

IV

CIV-C HIST-F GEO-D KISW-F ENGL-C B/MATH-F COMM-D

S1071/0007

F

AMINA SHABAN DAUDI

32

IV

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F

S1071/0008

F

ANCILA DAUDI KAYANGE

22

III

CIV-C HIST-C GEO-D KISW-D ENGL-B PHY-C CHEM-C BIO-D B/MATH-D

S1071/0009

F

ANGELINA JOHN SILAJA

19

III

CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-B PHY-C CHEM-C BIO-B B/MATH-F

S1071/0010

F

ANITHA GEOFREY MWASAGA

27

IV

CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-B B/MATH-D COMM-D B/KEEPING-F

S1071/0011

F

ANNA ALFREDY SHAO

24

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-B B/MATH-D COMM-D B/KEEPING-F

S1071/0012

F

ANNA CHARLES CHIBWANA

34

FLD

CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F B/MATH-F COMM-F

S1071/0013

F

ANNA MATHIAS IBENGWE

27

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C B/MATH-D COMM-F

S1071/0014

F

ANUSIATA CONSTANTINE KIMARIO

16

I

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-A

S1071/0015

F

ARISTIDIA PASTORY KASIGWA

26

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-D B/MATH-C COMM-D B/KEEPING-C

S1071/0016

F

ASHA HARUNA SADICK

27

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D BIO-D B/MATH-D

S1071/0017

F

ASIMWE JOSEPH RWEYEMAMU

23

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C PHY-C CHEM-D BIO-B B/MATH-D

S1071/0018

F

ASMA SADIKI BUSWIKE

27

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D BIO-C B/MATH-F

S1071/0019

F

BABYMARY STEVEN HENRY

26

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-C CHEM-D BIO-C B/MATH-D

S1071/0020

F

BABY ROZALY WILLIAM

27

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-D

S1071/0021

F

BAHATI NASSIR MAGAMBO

30

IV

CIV-C HIST-D GEO-F KISW-F ENGL-D BIO-D B/MATH-F

S1071/0022

F

BAINA ABRAHAM MULINDA

20

II

CIV-C HIST-C GEO-C KISW-D ENGL-B PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-D

S1071/0023

F

BEATRICE ALBAN MAGEA

28

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C B/MATH-D COMM-F

S1071/0024

F

BEATRICE EMMANUEL JOSEPH

34

FLD

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F B/MATH-F COMM-F

S1071/0025

F

BEATRICE GODLISTEN MMARI

29

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C B/MATH-F COMM-F

S1071/0026

F

BERNADETHA FREDRICK SABEGA

30

IV

CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-D B/MATH-D COMM-F

S1071/0027

F

BLANDINA DAUDI MAREGESI

22

III

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-B B/MATH-C

S1071/0028

F

CATHERINE GERSON NDIWAITA

26

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-D

S1071/0029

F

CATHERINE GODFREY NKYA

26

IV

CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-C PHY-D CHEM-C BIO-D B/MATH-F

S1071/0030

F

CAUTHER JOHN JOSEPH

29

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-D BIO-D B/MATH-F

S1071/0031

F

CECILIA DENI MAGUHWA

29

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-F

S1071/0032

F

CECYLIA BONNY SESANYAGI

20

II

CIV-C HIST-C GEO-C KISW-D ENGL-B BIO-C B/MATH-B

S1071/0033

F

CHAUSIKU MOHAMED MASANJA

34

FLD

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F B/MATH-F COMM-F

S1071/0034

F

CHRISTINA WILBROD CHIMWAGA

26

IV

CIV-D HIST-F GEO-D KISW-C ENGL-C B/MATH-C COMM-F B/KEEPING-D

S1071/0035

F

CLARA NARCIS LEINA

33

IV

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-D B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-F

S1071/0036

F

CLAUDIA JOHN MWENDA

26

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C B/MATH-C COMM-F B/KEEPING-D

S1071/0037

F

DEBORA SADOCK JACOB

26

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-B BIO-D B/MATH-D

S1071/0038

F

DEVOTHA CHARLES NGACHWELWA

30

IV

CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-D B/MATH-F COMM-D

S1071/0039

F

DEVOTHA MARK TESHA

32

IV

CIV-D HIST-F GEO-D KISW-F ENGL-F BIO-D B/MATH-F

S1071/0040

F

DIANA LEONTINE NKEBUKWA

27

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C BIO-C B/MATH-F

S1071/0041

F

DIGNA COSMASY MMASY

31

IV

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-C B/MATH-D COMM-F

S1071/0042

F

DONATILA KIWENGE AMARIN

33

IV

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F B/MATH-D COMM-F B/KEEPING-F

S1071/0043

F

DOREEN WILLIAM LUPATU

25

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C B/MATH-C COMM-D B/KEEPING-D

S1071/0044

F

EDNA EDWARD LUHUMBIKA

32

IV

CIV-D HIST-D GEO-F KISW-F ENGL-D B/MATH-F COMM-F

S1071/0045

F

ELIZABETH FRANCIS DUMA

25

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-C B/MATH-C COMM-F B/KEEPING-F

S1071/0046

F

ELIZABETH HENRY KUNYATILA

32

IV

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-D B/MATH-F COMM-F

S1071/0047

F

ELIZABETH MOSES KAWICHE

29

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-F

S1071/0048

F

ELIZABETH PANTALEO KIMARYO

31

IV

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F B/MATH-D COMM-F B/KEEPING-D

S1071/0049

F

ELIZABETH SALVATORY MTUNGA

19

III

CIV-C HIST-C GEO-D KISW-F ENGL-C PHY-B CHEM-C BIO-B B/MATH-C

S1071/0050

F

EMERONCE PACIFIQUE MINANI

17

I

CIV-C HIST-D GEO-C KISW-C ENGL-B PHY-C CHEM-A BIO-B B/MATH-C

S1071/0051

F

ENECK JULIUS NINGU

21

II

CIV-C HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-C PHY-B CHEM-C BIO-D B/MATH-B

S1071/0052

F

ENERCK NOAH MWAIPYANA

26

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D B/MATH-C COMM-D B/KEEPING-C

S1071/0053

F

ESTER MAULID JUMA

23

III

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-B PHY-C CHEM-D BIO-C B/MATH-C

S1071/0054

F

ESTHER ATHANASIO MACHIMO

32

IV

CIV-F HIST-F GEO-D KISW-F ENGL-D B/MATH-D COMM-F B/KEEPING-F

S1071/0055

F

ESTHER PETER SHUNULA

23

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-F

S1071/0056

F

EVELYN JOHN MARWA

19

II

CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-B B/MATH-B COMM-D B/KEEPING-B

S1071/0057

F

EVODIA RICHARD MZENA

22

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-D CHEM-C BIO-C B/MATH-C

S1071/0058

F

FADHILA KASSIM KAYOYO

24

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-D B/MATH-D

S1071/0059

F

FADHILA MUHAMMED CHOMBOH

29

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C B/MATH-F COMM-F

S1071/0060

F

FAIDHA ABDUL KAMBWILI

25

III

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-B BIO-C B/MATH-D

S1071/0061

F

FATINA HABIBU RASHIDI

23

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-C

S1071/0062

F

FATMA ABDALLAH ABBAS

23

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-D B/MATH-C

S1071/0063

F

FATUMA MAMBEA KACHEMA

24

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C PHY-C CHEM-D BIO-D B/MATH-C

S1071/0064

F

FAUSTINA GASTON DIONES

34

FLD

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F B/MATH-F COMM-F

S1071/0065

F

FIDES ADELARD URIO

29

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D B/MATH-D COMM-F B/KEEPING-F

S1071/0066

F

FORTUNATA RICHARD MWAINYEKULE

31

IV

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-D B/MATH-D COMM-F B/KEEPING-F

S1071/0067

F

FRIDA LEON PAUL

25

III

CIV-C HIST-D GEO-C KISW-D ENGL-C B/MATH-D COMM-F B/KEEPING-D

S1071/0068

F

GETRUDE COSTANTINE MASSAWE

26

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C B/MATH-D COMM-D

S1071/0069

F

GIVENESS FAUSTINE VALONGE

26

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C B/MATH-C COMM-D B/KEEPING-D

S1071/0070

F

GLADNESS GADIEL KOMBE

27

IV

CIV-D HIST-F GEO-D KISW-F ENGL-D PHY-C CHEM-D BIO-D B/MATH-D

S1071/0071

F

GLORIA GEOFREY MARTIN

31

IV

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-D BIO-D B/MATH-D

S1071/0072

F

GRACE ANGIRINGA USOY

23

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-B PHY-C CHEM-D BIO-C B/MATH-D

S1071/0073

F

HALIMA HALFAN CHAULA

31

IV

CIV-C HIST-F GEO-D KISW-F ENGL-D B/MATH-F COMM-F

S1071/0074

F

HALIMA OMARY MMARY

31

IV

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-D BIO-D B/MATH-D

S1071/0075

F

HALIMA SALEHE RWAMBO

25

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C B/MATH-C COMM-D B/KEEPING-F

S1071/0076

F

HAPPINESS CHARLES SENGEREMA

23

III

CIV-C HIST-F GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-D BIO-C B/MATH-D

S1071/0077

F

HAPPINESS FRANK LEMA

30

IV

CIV-D HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-D BIO-D B/MATH-F

S1071/0078

F

HAPPINESS JANUARY FUSSI

35

FLD

CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F B/MATH-F COMM-F

S1071/0079

F

HAPPYNESS PETER MASSANJA

33

IV

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-D B/MATH-F COMM-F

S1071/0080

F

HAPPY ZABRON CHACHA

28

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C B/MATH-D COMM-F

S1071/0081

F

HELLEN HERBERT KILANGO

21

III

CIV-C HIST-D GEO-C KISW-F ENGL-C PHY-C CHEM-B BIO-C B/MATH-D

S1071/0082

F

HERSWIDA NIGRO NYENYEMBE

30

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-F BIO-D B/MATH-F

S1071/0083

F

HUSNA HUSSEIN MAJURA

27

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-B B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-F

S1071/0084

F

HUSNA KASSIM KIKOMA

31

IV

CIV-D HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-D B/MATH-F COMM-F

S1071/0085

F

HUSNA MSAGATI KIHIYO

25

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C PHY-D CHEM-C BIO-D B/MATH-D

S1071/0086

F

IRENE ANDREW KILALE

24

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C PHY-C CHEM-D BIO-D B/MATH-C

S1071/0087

F

IRENE CHARLES BUBERWA

24

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-B B/MATH-C COMM-D B/KEEPING-D

S1071/0088

F

IRENE GUKILA MASEGESE

25

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C PHY-C CHEM-D BIO-D B/MATH-F

S1071/0089

F

IRENE REMMY SHOO

32

IV

CIV-D HIST-F GEO-D KISW-F ENGL-F BIO-D B/MATH-F

S1071/0090

F

IRENE THOMAS KOH

26

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C B/MATH-D COMM-F B/KEEPING-D

S1071/0091

F

ISABELA STEPHEN MUSHI

23

III

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-A B/MATH-C COMM-D B/KEEPING-D

S1071/0092

F

JACKLINE AUGUSTINO KOMBA

31

IV

CIV-C HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-D B/MATH-F COMM-F

S1071/0093

F

JACKLINE CONSTANTINO SHAYO

30

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D B/MATH-F COMM-F

S1071/0094

F

JACKLINE DANIEL NKOMA

30

IV

CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-D B/MATH-B COMM-F

S1071/0095

F

JACKLINE FELIX MKINI

30

IV

CIV-C HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-D BIO-D B/MATH-F

S1071/0096

F

JACKLINE ISAAC KIPUTA

17

I

CIV-C HIST-B GEO-B KISW-C ENGL-C B/MATH-B COMM-D B/KEEPING-B

S1071/0097

F

JACKLINE JUDICATE MUNISY

19

II

CIV-C HIST-B GEO-C KISW-C ENGL-B B/MATH-C COMM-D B/KEEPING-C

S1071/0098

F

JACKLINE MASARO PHILIPO

-

ABS

CIV-X HIST-X GEO-X KISW-X ENGL-X B/MATH-X COMM-X

S1071/0099

F

JACQUELINE ALLY MBWANGA

26

IV

CIV-C HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-B B/MATH-C COMM-F B/KEEPING-F

S1071/0100

F

JANE GERALD MTONYOLE

25

III

CIV-D HIST-C GEO-D KISW-D ENGL-C B/MATH-C COMM-F B/KEEPING-D

S1071/0101

F

JASHIR GERMANUS LYENGI

28

IV

CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D B/MATH-D COMM-F B/KEEPING-F

S1071/0102

F

JESCA JOHN MAGUFULI

30

IV

CIV-D HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C B/MATH-F COMM-F
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom