Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,496
- 17,372
Hiyo kurugenzi hovyo kabisa hovyo kila release yao errors tu..utafikiri imetoka wodi ya vichaa pale muhimbili ndio wakai print!!shame kabisa....ndio majibu ya madaraka kupeana kulipana fadhila....na kuliliaa kuwa mmenisahau kazi kubwa nilifanya kuchafua wagombea""