Mtoto wa Kim Jong-Un mwenye umri wa miaka 13 ni Luten wa jeshi la wananchi Korea Kaskazini

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,266
Unaambiwa Mtoto wa Kim Jong-Un, Kim Lau Jong-Un ambae kwa Sasa ana Umri wa Miaka 13 Ndie Luteni wa Jeshi la Nchi ya Korea Kaskazini.

Aliapishwa Kuwa Luteni Mwaka 2017 akiwa na Umri wa Miaka 9,Mtoto huyo anaandaliwa Kuwa Mkuu wa Majeshi na Kiongozi wa Nchi hiyo Siku Baba yake Kim Jong-Un atakapo fariki.

1621016305724.png
Hawa wala hawaja waza kupata katiba mpya.
 
Unaambiwa Mtoto wa Kim Jong-Un, Kim Lau Jong-Un ambae kwa Sasa ana Umri wa Miaka 13 Ndie Luteni wa Jeshi la Nchi ya Korea Kaskazini.

Aliapishwa Kuwa Luteni Mwaka 2017 akiwa na Umri wa Miaka 9,Mtoto huyo anaandaliwa Kuwa Mkuu wa Majeshi na Kiongozi wa Nchi hiyo Siku Baba yake Kim Jong-Un atakapo fariki.

View attachment 1784989Hawa wala hawaja waza kupata katiba mpya.
Hawana katiba, wanaongozwa na mizimu
 
Back
Top Bottom