Musundi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,583
- 2,600
MwanaNaomba kuondolewa ujinga, nimeulizwa na mtoto mdogo anayesoma darasa la tatu nimeshindwa kumjibu na kuishia kumpigia stori nyingine ili asahau swali lake, lakini kamekomaa kila muda kananikumbusha.....sijui nani amekatuma!! Msaada tafadhali...
Sent using Jamii Forums mobile app