Naomba kuondolewa ujinga, nimeulizwa na mtoto mdogo anayesoma darasa la tatu nimeshindwa kumjibu na kuishia kumpigia stori nyingine ili asahau swali lake, lakini kamekomaa kila muda kananikumbusha.....sijui nani amekatuma!! Msaada tafadhali...
Bin au Ibn na Bint ni maneno yanayotokana na lugha ya Kiarabu, mnatakiwa kuwa makini na jinsi mnavyotaka kuyatumia.Inategemea na muktadha wenyewe na unakusudia kusema kitu gani. Kama kwa mfano unaongea na rafiki yako na unataka kumpa taarifa kuwa mwanao mgonjwa; unaweza kusema hivi:
- Kijana wangu ana homa
- Binti yangu ana homa
Ni kweli mkuu, lakini pamoja na maneno kama hayo kutokana na kiarabu lakini kiswahili kimeyabadilisha na kuna uwezekano yakawa yanabeba maana tofauti kabisa na ilivyo kwa kiarabu. Sasa kwa wazungumzaji wa kiswahili wa sasa neno 'binti' lina maana ya 'mtoto wa kike'....ama siyo?Bin au Ibn na Bint ni maneno yanayotokana na lugha ya Kiarabu, mnatakiwa kuwa makini na jinsi mnavyotaka kuyatumia.
Na kwa Kiarabu maana yake ni hiyo hiyo.... Ni matumizi tu.Ni kweli mkuu, lakini pamoja na maneno kama hayo kutokana na kiarabu lakini kiswahili kimeyabadilisha na kuna uwezekano yakawa yanabeba maana tofauti kabisa na ilivyo kwa kiarabu. Sasa kwa wazungumzaji wa kiswahili wa sasa neno 'binti' lina maana ya 'mtoto wa kike'....ama siyo?
soma kuanzia mwanzo utaona jibu.Nahisi jibu la swali halijapatikana Binti= msichana = mwanamke = mama = bibi
KIVUMBI tunataka kujuzwa ........= mvulana = mwanamme = baba = babu
Mtazamo tu wandugu tujuzeni
nikweli, lakini kuna nyakati linatumika kuashiria mtoto wa kiume. Ni kama neno 'mzee' mfano linapotangulia jina. Hata katika familia mara nyingi baba ndio anaitwa 'mzee'.Hata wa kike nae anaitwa kijana....
Je hakuna kijana wa kike?Mtoto wa kiume huitwa KIJANA..
Bila shaka dume la paka wafaham linaitwaje! Naomba unijuze mwanajamii.....!Mkuu wacha na mimi nidandie hapo hapoume la Ng'ombe huitwa FahariDume la Mbuzi huitwa BeberuDume la Kuku huitwa JogooJe dume la mbwa huitwaje?Nawasilisha wakuu.