MWILI NYUMBA
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 817
- 255
Kuna mtu alishawahi kuleta habari hii hapa jamvini na akadai anaipeleka kwenye vyombo vya habari!Lakini hoja yake ilikosa mashiko na wadau wengi sana waliichallenge akashindwa kuitetea! Sasa naona imeshafika magazetini! Haya mwenye jipya atujulishe kuhusu ukweli wa hii habari!