huyo jamaa anazeeka vibaya...habari imetokea china anaiongelea tabora.
Ampelekee J ntao huo uzushi sio hapa.
Humu ndani tumekuwa vichaa??? hivi dhambi ya mtoto anachukua baba yake au chama cha baba yake?????? mbona mnjajichanganya weneywe au kwa sababu amesema slaa???? ambaye kwenu ni kama malaika kwani hata kama akikosea inakuwa sawa???? Hivi karibuni tulikuwa tunalaani kitendo cha mtoto aliyekojolea kur'ani tukasema kuwa huyo ni mtoto kulikuwa hakuna mantiki ya kuchoma makanisa wala vurugu na wale wote waliochukulia jazba tuliwalaani sana nikiwemo mimi ambaye ni mwislamu. sasa kama huyu mtoto amekamatwa na kosa la jinai ughaibuni chama cha baba yake kinahusu nini??? huyo ni mhalifu tu hata kama angekuwa mtoto wa rais bado angekuwa ni mhalifu tu. wacheni fikra mgando ambazo zinatufanya tushindwe kupambanua mambo.
nilikua nasikiliza WAPO radio FM kuna habari kutoka Tabora ikimnukuu doctor Slaa kuwa ana ushahidi wa kutosha kuwa mtoto wa Kigogo mmoja wa CCM alikamatwa na madawa ya kulevya huko China July mwaka huu.
mwenye ile thread kuhusu hii issue aiunganishe hapa chini..nimeitafuta sijaipata humu.
nawasilisha.
nilikua nasikiliza WAPO radio FM kuna habari kutoka Tabora ikimnukuu doctor Slaa kuwa ana ushahidi wa kutosha kuwa mtoto wa Kigogo mmoja wa CCM alikamatwa na madawa ya kulevya huko China July mwaka huu.
mwenye ile thread kuhusu hii issue aiunganishe hapa chini..nimeitafuta sijaipata humu.
nawasilisha.
nilishakuambia toka zamani story zako haziwezi kukubaliwa hata hapo globo publisher.kama unataka kuwa mtunzi wa riwaya ujue kuwa hailipi siku hizi ,jaribu kilimo,UTATOKA.
nilishakuambia toka zamani story zako haziwezi kukubaliwa hata hapo globo publisher.kama unataka kuwa mtunzi wa riwaya ujue kuwa hailipi siku hizi ,jaribu kilimo,UTATOKA.
stori za nani??titans ama dr slaa??ama WAPO radio walionukuu??
Kwa sheria za China inawezekana kweli?
Mhh......?
Hard to Swallow...., Nadhani hii kitu bila concrete evidence itabakia kuwa kwenye fictitious side.., (Its a Big Scandal involving two countries, two leaders and aiding and abating criminals...)
So until then taichukulia kama hadithi... (hata kama ni kweli), Pia nadhani kwa Raisi wa Hong Kong asingependa kuhusika directly angetumia wapambe wake na sio kujilengesha kwenye potential scandal
Humu ndani tumekuwa vichaa??? hivi dhambi ya mtoto anachukua baba yake au chama cha baba yake?????? mbona mnjajichanganya weneywe au kwa sababu amesema slaa???? ambaye kwenu ni kama malaika kwani hata kama akikosea inakuwa sawa???? Hivi karibuni tulikuwa tunalaani kitendo cha mtoto aliyekojolea kur'ani tukasema kuwa huyo ni mtoto kulikuwa hakuna mantiki ya kuchoma makanisa wala vurugu na wale wote waliochukulia jazba tuliwalaani sana nikiwemo mimi ambaye ni mwislamu. sasa kama huyu mtoto amekamatwa na kosa la jinai ughaibuni chama cha baba yake kinahusu nini??? huyo ni mhalifu tu hata kama angekuwa mtoto wa rais bado angekuwa ni mhalifu tu. wacheni fikra mgando ambazo zinatufanya tushindwe kupambanua mambo.