Mtoto wa kigogo ahusishwa tukio la ubakaji hoteli ya KNCU

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Mtoto wa kigogo ahusishwa tukio la ubakaji hoteli ya KNCU

Daniel Mjema,Moshi


MTOTO wa mfanyabiashara mashuhuri wa mjini Moshi (jina tunalo), ametiwa mbaroni na polisi kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la kumlawiti mwanamme mmoja katika hoteli ya KNCU mjini Moshi baada ya kufumaniwa na mke wa mtu.


Mwanaume huyo alilawitiwa na wanaume watano katika chumba namba 53 cha hoteli hiyo baada ya kuwekewa mtego na mume wa mwanamke huyo ambaye pamoja na mkewe nao wameshitakiwa mahakamani.


Mtoto wa mfanyabiashara huyo ambaye ni muuzaji maarufu wa bia na pombe kali za jumla alikamatwa juzi saa 9:00 alasiri na anatarajiwa kuunganishwa na watuhumiwa wengine watano katika kesi hiyo.


Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Lucas Ng’hoboko jana alithibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo na kueleza kuwa kesho Jumatatu anatarajiwa kufikishwa mahakamani.


"Tulimkamata jana(juzi) saa 9:00 alasiri na tumemwachia kwa dhamana wakati tukikamilisha taratibu za kumuunganisha na washtakiwa wenzake kesho Jumatatu"alisisitiza Kamanda Ng'hoboko.


Watuhumiwa ambao tayari wamefikishwa mahakamani ni pamoja na Kelvine Mushi (32) na mkewe Vaileth Swai (30),na Kassim Mohamed(28), Albeth August (25) na Leon Kimambo(34) wote wakazi wa Mailisita wilayani Hai.


Katika shtaka la kwanza, upande wa mashtaka ukiongozwa na wakili wa serikali,Hellen Moshi ulidai mahakamani kuwa washtakiwa hao watano walikula njama na kufanikisha kulawitiwa kwa mwanaumme huyo.


Katika shtaka la pili, washtakiwa wanne ukimwondoa Vaileth, wanatuhumiwa kuwa Desemba 16,2009 saa 12:00 jioni, walitenda kosa la kumlawiti mwanaume huyo.


Washtakiwa hao walikanusha mashtaka hayo na waliachiwa kwa dhamana ya wadhamini wawili kila mmoja ambao walitakiwa kusaini hati ya dhamana ya Sh2 milioni au kuwasilisha hati za mali isiyohamishika.


Habari zaidi zinadai kuwa kufumaniwa kwa mwanamume huyo kulitokana na mume wa mwanamke huyo kukamata simu ya mkewe na kuishikilia kwa siku na kuwasiliana na mwanamume huyo huku akijifanya ni mwanamke huyo.


Mwanamume aliyetendewa unyama huo alipoteza fahamu katika purukushani za kupambana na watuhumiwa hao wasimkate uume wake na alipozinduka ndipo aliposhangaa amezungungwa na polisi na wafanyakazi wa hoteli hiyo
 
Sababu za kutokutajwa jina lake wakati watuhumiwa wengine wametajwa ni nini?
 
Wakuu, huyu kala vya wenzake, naye vyake vimeliwa, kosa gani la kuwapeleka mahakamani? Jamani, hebu tumuonee huruma na huyu jamaa aliyekuwa anaibiwa, yaani basi tu. Inauma sana. Aliye...tiwa simuhurumii, mbona wasichana wapo wengi sana, kwani lazima mke wa mtu?
 
Wakuu, huyu kala vya wenzake, naye vyake vimeliwa, kosa gani la kuwapeleka mahakamani? Jamani, hebu tumuonee huruma na huyu jamaa aliyekuwa anaibiwa, yaani basi tu. Inauma sana. Aliye...tiwa simuhurumii, mbona wasichana wapo wengi sana, kwani lazima mke wa mtu?

Suala ni sheria za nchi zinasemaje. NUKTA.

Hayo mengine sijui nimeibiwa sijui mke wangu hayo yataangaliwa kulingana na sheria zilizopo na itabainishwa nani mkosaji kwa mujibu wa sheria sio kwa mujibu wa maoni.
 
Mkuu Abdulhalim, naona hujaoa wewe. Kama unaye mke, hebu fikiria, ashakum si matusi, jamaa linahemea mkeo shingoni, utajisikiaje? Halafu mkeo anatoa ushirikiano wa kutosha! Duh! Basi acha sheria ichukue mkondo, lakini mkondo unaweza kuelekezwa kwa mlawitiwa vile vile, tehetehetehetehetehe.

Mkuu bado najiuliza, sijui alikata na mauno! au aligangamala!
 
Hii ndiyo dawa ya mipakashume,wao wake za watu tu. Me mwenyewe nikigundua mke wangu analiwa,lazima jamaa naye liwe,nitamkodia masela wamle tena nachukua na video,akisema tu na release video.

Maana watu wamezidi kuhemea wake za watu.
 
Hii ndiyo dawa ya mipakashume,wao wake za watu tu. Me mwenyewe nikigundua mke wangu analiwa,lazima jamaa naye liwe,nitamkodia masela wamle tena nachukua na video,akisema tu na release video.

Maana watu wamezidi kuhemea wake za watu.

Gooood! Mponjoli wewe mwanaume kama mimi.
 
Duh, watu wamefikia hatua za kinyama namna hii ?? inasikitisha sana.

Si unyama kaka, kula cha mtu ni Kifo. we hujui watu husema Kucheza na mke wa mtu ni sawa na kucheza na moto.? na mara nyingi watu hawa huonywa almost 3 times, ya nne mzee yanakufika maswahibu kama haya.

Huyu jamaa bora asingeriport police maana yake siri imefichuka kwamba kavunjiwa duka na watu zaidi ya 5, aibu tupu bora angekauka akajitibia akapona yakaisha.
 
Si unyama kaka, kula cha mtu ni Kifo. we hujui watu husema Kucheza na mke wa mtu ni sawa na kucheza na moto.? na mara nyingi watu hawa huonywa almost 3 times, ya nne mzee yanakufika maswahibu kama haya.

Huyu jamaa bora asingeriport police maana yake siri imefichuka kwamba kavunjiwa duka na watu zaidi ya 5, aibu tupu bora angekauka akajitibia akapona yakaisha.

Big thumb up! wangemkata uume ndiyo ingekuwa issue. but alichotendewa ni kumkomesha. Na je naye ana mke?
 
Si unyama kaka, kula cha mtu ni Kifo. we hujui watu husema Kucheza na mke wa mtu ni sawa na kucheza na moto.? na mara nyingi watu hawa huonywa almost 3 times, ya nne mzee yanakufika maswahibu kama haya.

Sitetei kitendo cha kutembea na wake za watu. Il haki za kibinadamu zinaapply kwa wote tu, na ndio maana tunazo sheria tulizokubaliana zituongoze ili tuishi kwa amani.
 
Mkuu Abdulhalim, naona hujaoa wewe. Kama unaye mke, hebu fikiria, ashakum si matusi, jamaa linahemea mkeo shingoni, utajisikiaje? Halafu mkeo anatoa ushirikiano wa kutosha! Duh! Basi acha sheria ichukue mkondo, lakini mkondo unaweza kuelekezwa kwa mlawitiwa vile vile, tehetehetehetehetehe.

Mkuu bado najiuliza, sijui alikata na mauno! au aligangamala!

Yaani una support barbarism kisa mwanamke??? Tena mwanamke kenda mwenyewe kuchojoa kwa mwanamme mwingine bila kushikiwa binduki wala kisu?? If it was my wife she is not worth it..Nitaendelea na ishu zangu tu maana we live only once mazee.
 
Hii ndiyo dawa ya mipakashume,wao wake za watu tu. Me mwenyewe nikigundua mke wangu analiwa,lazima jamaa naye liwe,nitamkodia masela wamle tena nachukua na video,akisema tu na release video.

Maana watu wamezidi kuhemea wake za watu.

Mkuu umenikumbusha miaka ya 2004 au 2005 mfanyabiashara maarufu alijitanua na mke wa mtu huko Kigoma alipokuwa na tender ya ujenzi wa nyumba za vyuo fulani mashuri nchini, jamaa akamtafutia wababe wakamtendea ufirauni na wakachukua video. Nakuambia yule mfanyabiashara alichanganikiwa na mwishowe alijiua na kuacha utajiri wake wote.
 
Mtoto wa kigogo ahusishwa tukio la ubakaji hoteli ya KNCU

Daniel Mjema,Moshi


MTOTO wa mfanyabiashara mashuhuri wa mjini Moshi (jina tunalo), ametiwa mbaroni na polisi kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la kumlawiti mwanamme mmoja katika hoteli ya KNCU mjini Moshi baada ya kufumaniwa na mke wa mtu.


Mwanaume huyo alilawitiwa na wanaume watano katika chumba namba 53 cha hoteli hiyo baada ya kuwekewa mtego na mume wa mwanamke huyo ambaye pamoja na mkewe nao wameshitakiwa mahakamani.


Mtoto wa mfanyabiashara huyo ambaye ni muuzaji maarufu wa bia na pombe kali za jumla alikamatwa juzi saa 9:00 alasiri na anatarajiwa kuunganishwa na watuhumiwa wengine watano katika kesi hiyo.


Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Lucas Ng’hoboko jana alithibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo na kueleza kuwa kesho Jumatatu anatarajiwa kufikishwa mahakamani.


"Tulimkamata jana(juzi) saa 9:00 alasiri na tumemwachia kwa dhamana wakati tukikamilisha taratibu za kumuunganisha na washtakiwa wenzake kesho Jumatatu"alisisitiza Kamanda Ng'hoboko.


Watuhumiwa ambao tayari wamefikishwa mahakamani ni pamoja na Kelvine Mushi (32) na mkewe Vaileth Swai (30),na Kassim Mohamed(28), Albeth August (25) na Leon Kimambo(34) wote wakazi wa Mailisita wilayani Hai.


Katika shtaka la kwanza, upande wa mashtaka ukiongozwa na wakili wa serikali,Hellen Moshi ulidai mahakamani kuwa washtakiwa hao watano walikula njama na kufanikisha kulawitiwa kwa mwanaumme huyo.


Katika shtaka la pili, washtakiwa wanne ukimwondoa Vaileth, wanatuhumiwa kuwa Desemba 16,2009 saa 12:00 jioni, walitenda kosa la kumlawiti mwanaume huyo.


Washtakiwa hao walikanusha mashtaka hayo na waliachiwa kwa dhamana ya wadhamini wawili kila mmoja ambao walitakiwa kusaini hati ya dhamana ya Sh2 milioni au kuwasilisha hati za mali isiyohamishika.


Habari zaidi zinadai kuwa kufumaniwa kwa mwanamume huyo kulitokana na mume wa mwanamke huyo kukamata simu ya mkewe na kuishikilia kwa siku na kuwasiliana na mwanamume huyo huku akijifanya ni mwanamke huyo.


Mwanamume aliyetendewa unyama huo alipoteza fahamu katika purukushani za kupambana na watuhumiwa hao wasimkate uume wake na alipozinduka ndipo aliposhangaa amezungungwa na polisi na wafanyakazi wa hoteli hiyo

mh hv huyu mfanyabiashara ni machare investment au masuki?
 
Vipi kuhusu huyo mwanamke aliyekuwa anajua yeye ni mke wa mtu na akaamua kuvua nguo kwa mwanamme mwingine? Jee kama ndio tabia yake huyo mumewe atawalawiti wanaume wangapi? maana mke huyo anaweza kuendelea kugawa kama peremende maisha yake yote. Kitendo cha mume sio sahihi hata kidogo na hakita msaidia zaidi ya kumpeleka jela.
 
Ofoz kwa ujuzi mdogo wa sheria nilionao,hao waliomlawiti jamaa wanastahili kifungo cha maisha au jela miaka 30,Mwenye mke angekuwa na defence(provocation) iwapo angekuwa amefumania ghafla na kutenda kitu chochote kibaya kama kuua,kujeruhi n.k.Lakini hiyo inaonyesha jamaa alijua siku nyingi kama mke wake analiwa na akaplani kumkomoa mgoni wake.Ofcoz kuibiwa kunauma ndo maana sheria ikaconsider provocation,lakini hiyo ya kumlawiti mtu haikubaliki.
 
Yaani una support barbarism kisa mwanamke??? Tena mwanamke kenda mwenyewe kuchojoa kwa mwanamme mwingine bila kushikiwa binduki wala kisu?? If it was my wife she is not worth it..Nitaendelea na ishu zangu tu maana we live only once mazee.

hata mimi nina wasiwasi sana na huyu jamaa
 
Vipi kuhusu huyo mwanamke aliyekuwa anajua yeye ni mke wa mtu na akaamua kuvua nguo kwa mwanamme mwingine? Jee kama ndio tabia yake huyo mumewe atawalawiti wanaume wangapi? maana mke huyo anaweza kuendelea kugawa kama peremende maisha yake yote. Kitendo cha mume sio sahihi hata kidogo na hakita msaidia zaidi ya kumpeleka jela.

Chakaza, wanawake wengi sana wanaisigina amri ya 6 na hawasitukiwi na mtu. Hapo ujue yule mwanamke alikuwa hamtaki jamaa, akamweleza mmewe, wakalitegea *****, wakalifanyizia. Siku hizi ni dili, hasa mjini. Yule sio ujanja wa mwanamme bali mke na mme wamemfanyizia.

Sawasawa kabisa, iendelee hii tamu. Ukila, unaliwa!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom