Mama anapewa urithi gani hapa kama sio urithi wa watoto??Hivi siku hizi akili zinauzwa ghali sana kiasi kwamba wengine tunashindwa kununua? Mbona majibu yako wazi?!!! Mtoto wa kambo anamrithi MAMA YAKE MZAZI na sio baba wa kambo. Sehemu ya urithi atakayopata mama ndiyo atamgawia mwanaye huyo. Hauzuwii kumpa kama wosia na sio mirathi! Pili mama hana ushirika kwa vitu alivyovikuta! Hata ulivyopata akiwepo mchango wake lazima uwe calculated! HAKUNA AUTOMATIC 50-50! Usiogope kwenda mahakamani hiyo ndio sheria. Tafuta family lawyer mzuri ulinde haki zako!
Sent using Jamii Forums mobile app