Frey Cosseny
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 1,984
- 1,405
Yeriko ni tapeli wa jina la familia ya Mwalimu amelitumia jina la Mwalimu vibaya kwa kujinufaisha kisiasa vyombo vya dola lazima zichukue hatua kwa yeriko Mara moja
Ni matusi kumwita. Yericho mtoto wa . Mwalimu. Nyerere. I am loosing my patience.
It was the dream that . I had. Niliota sayari zinazunguka jua na miezi inazunguka sayari,like watching inside a clock. Halafu all those celestial bodies started rotating backwards. After rotating backwards for some time,again they started going forward . Ndipo hapo kati ya watoto watatu wa. Mwalimu,. Mako,. Magige na mimi,mmoja akachaguliwa kuwa rais. Nakumbuka specifically kwamba sio mimi niliyechaguliwa kuwa rais. Mimi nilibaki kuwa spiritual adviser or something. Tunajadili kuhusu haya mambo ya uchaguzi. Kwa sababu haijawahi kuwa tatizo tanzania kumpata rais,na mwaka huu we don't want it to be any different.
It was the dream that . I had. Niliota sayari zinazunguka jua na miezi inazunguka sayari,like watching inside a clock. Halafu all those celestial bodies started rotating backwards. After rotating backwards for some time,again they started going forward . Ndipo hapo kati ya watoto watatu wa. Mwalimu,. Mako,. Magige na mimi,mmoja akachaguliwa kuwa rais. Nakumbuka specifically kwamba sio mimi niliyechaguliwa kuwa rais. Mimi nilibaki kuwa spiritual adviser or something. Tunajadili kuhusu haya mambo ya uchaguzi. Kwa sababu haijawahi kuwa tatizo tanzania kumpata rais,na mwaka huu we don't want it to be any different.
Haya maelezo uliyotoa kama na wewe ni mtoto wa Nyerere mbona kama na wewe ni mgonjwa pia?
Hakuwa msafi. Happy now huh?
Ndiyo! Kwa sababu CCM hamna aliye msafi.
Tumia lugha ya kiungwana nawe uonekane muungwana sio unaropoka kama barmaid.Kwani ukiandika kiswahili fasahe bila kuchanganya na kingereza utaonekana haujui au wewe ni kichaa.
George ni nani mkuu?Na Geogre alikuwa bangi mtu kijiwe chake ilikuwa ni pale dagoni msassni.
Na wakati mwingine nilimuona mitaani akionhgozana na mlevi mmoja almaarufu Kamlima
Mimi nawafahamu watoto wote wa hayati Julius K. Nyerere. Kuanzaia Rosemary Nyerere, Anna Nyerere, Madaraka Nyerere, Makongoro Nyerere, Andrew Nyerere, Magige Nyerere, Aikael Nyerere.
Eleza kwamba ni mtoto wa nani? Maana kwa nijuavyo mimi we huwez kumkataa ndugu yako maana siri kuwa ni ndugu yako au siyo anajua baba yako au mama yako! Na pia tulitaka kuwajua watoto wa nyerere hasa wa kiume na wanachofanya kwa sasa ili tuone kama kuna anayefaa
Una uhakika kuwa kajinufaisha? Steve Nyerere je?
Kati ya Hawa wanaccm watatu moja atakuwa Rais wa tano wa JMT Mr Benard Membe, captain Charles Makongoro Nyerere na Mr January Yusuph Makamba
Wakuu nakumbuka miaka ya 90 huyu Andrew hakuwa vizuri,
Nikimaanisha (mental) tofauti na sasa alikuwa mkimya, mpole na mzururaji yaani kama mfugo uliokosa mchungaji