Mfwalamanyambi
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 433
- 102
Katerero ni kijiji kilichopo Kemondo bukoba vijijini na kuna gulio kubwa huwa linafanyika hapo katerero kila wiki.
Umenikumbusha kwa sie tuliosoma pr schools miaka ya 80 kitabu cha kiswahili cha std IV kulikuwa na topic isemayo " Siku ya Gulio Katerelo"