Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 1,988
- 1,175
Somo la communication skills, wanachuo wengi wanalidharau lakini lina umuhimu.
Yaani hata Dr. Kimei hajui namna ya kuandika barua!!!!
Hata siku moja usiweke jina lako kwenye anwani yako, Jina litaonekana mwishoni tu. Kwa mfano andika hivi:
c/o 21819,
Dar es Salaam.
Ndio baada ya hiyo complimentary close Wako DOKTA KIMEI...
Vijana msidharau hilo somo tafadhali. Hiyo barua ina makosa sana.
Povu ruksa. Halafu nimesahau kuwa ni uzi wa harusi uwiiiiiiiii
Hi
Somo la communication skills, wanachuo wengi wanalidharau lakini lina umuhimu.
Yaani hata Dr. Kimei hajui namna ya kuandika barua!!!!
Hata siku moja usiweke jina lako kwenye anwani yako, Jina litaonekana mwishoni tu. Kwa mfano andika hivi:
c/o 21819,
Dar es Salaam.
Ndio baada ya hiyo complimentary close Wako DOKTA KIMEI...
Vijana msidharau hilo somo tafadhali. Hiyo barua ina makosa sana.
Povu ruksa. Halafu nimesahau kuwa ni uzi wa harusi uwiiiiiiiii
Hii barua hajaisaini Dr. kimei yamkini hata hakuiona kabla haijapelekwa polisi.
Ahsante