Mkuu Sikonge, ni kweli ni kakubwa, lakini compare na huyo Mkuu kiumri!, more than twice!
Ndo zao hizo mabosi hawa...They just want yo use the surbodinates...then wanawa'dump.
Na hiyo suti vp mkuu, ni ya utata nini!
Huwezi jua..
Labda jamaa moyo wake umemdondokea mtoto wa bosi
Mahesabu gani hayo ya kukimbizana na mabegi kwenye ngazi, kama vile hana surbodinates?Huyo binti ana miaka 20 ni mwanamke mzima huyo kwahiyo huyu jamaa msifikri ni ***** ,inawezekana anamfanyia mahesabu mtoto wa bosi wake!! He seems to be a smart dude!