kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,560
- 1,399
Mtoto wa ajabu amezaliwa huko Arusha akiwa na vichwa viwili, hana jinsia ya kike wala ya kiume. Haya ni maajabu kweli.
Source: Wapo Radio.
Source: Wapo Radio.
Kuna mijinga iatkuja hapa na kumlamu Mh. Lema kwa hili.
Maajabu haya.Tafadhali tuwekee picha