KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Mtoto alikua anabishana na mama yake. MTOTO:Mbona jogoo huwa anamkimbiza kuku jike? MAMA:Kamuibia chakula chake.
MTOTO:Mbona mbuzi dume huwa anamdandia jike?MAMA: Kachoka kutembea anataka kubebwa.
MTOTO:Kwahio baba anavyopandaga juu yako ucku alikuwa anajifunza kutembea kama mjusi?..MAMA: He! We mshenzi toka hapa!
MTOTO:Mbona mbuzi dume huwa anamdandia jike?MAMA: Kachoka kutembea anataka kubebwa.
MTOTO:Kwahio baba anavyopandaga juu yako ucku alikuwa anajifunza kutembea kama mjusi?..MAMA: He! We mshenzi toka hapa!