Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 815
Hivi naomba kuuliza mtoto uliemzaa anachukuwa akili za mama au baba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sahihi kabisa, hakuna uthibitisho kuwa akili inarithiwa kisayansi lakin mazingira (malezi) yatachangia kiasi kikubwa kuboresha afya ya akili mfano lishe bora, n.kMtoto kwa upande wa akili ni utashi binafsi,,
Huyo anategemea jinsi atakavyolelewa!
Kumbuka mtoto huwa anazaliwa akiwa empty minded....
#Ni maoni yangu tu lakini...
Kwa mtazamo na uzoefu wangu...Hivi naomba kuuliza mtoto uliemzaa anachukuwa akili za mama au baba?
Hivi naomba kuuliza mtoto uliemzaa anachukuwa akili za mama au baba?
Nakumbuka mwlm wang wa biology alisema kama mama ni mbumbumbu na baba ni mbumbumbu usitegemee mtoto akawa na akili.... ila kwa mm ninavyojua akili ya mtoto inaanza kujengeka kwanzia pale mtoto anavyozaliwa ktk kuhakikisha malezi bora ktk maeneo mbali mbali kama Nutrition, Child protection, Early stimulation & health care.Hivi naomba kuuliza mtoto uliemzaa anachukuwa akili za mama au baba?
Nakumbuka mwlm wang wa biology alisema kama mama ni mbumbumbu na baba ni mbumbumbu usitegemee mtoto akawa na akili.... ila kwa mm ninavyojua akili ya mtoto inaanza kujengeka kwanzia pale mtoto anavyozaliwa ktk kuhakikisha malezi bora ktk maeneo mbali mbali kama Nutrition, Child protection, Early stimulation & health care.
Mkuu mbona u muongo kiasi hicho?Inategemea na mbegu iliyoshinda wakati wa mpambano kati ke au me, obvious mtoto atafata huko.
Note: sio mara zote itakuwa hivyo sometimes anaweza kuchukua kwa wazazi wote, huku nusu na huku nusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Intelligent kwa mlengo upi?Kama ni hivyo basi tukubaliane kuna natural skills kwasababu kuna watu hawapata hayo yote hapo juu but they are intelligent
Intelligent kwa mlengo upi?
Yeah ndy hivyo... Kila mtu MUNGU kampa akili sema ndy tunatofautiana uwezo, matumizi na mazingira... maana akili si kusoma tu au kupata elimu..Akili ni zaidi.Kama ni hivyo basi tukubaliane kuna natural skills kwasababu kuna watu hawapata hayo yote hapo juu but they are intelligent
Kwa jibu lako hili mbona unapingana na hoja yako tena? Kwamba kuna watu wanakosa vyote halafu bado wanabaki intelligence?za darasani na maisha
Huwa anachukua za yule mwenye ndogo.Pia kwa tabia huwa anachukua za yule mwenye tabia mbayaHivi naomba kuuliza mtoto uliemzaa anachukuwa akili za mama au baba?
sio kuchangia intellence ya mtoto ni kuwezesha mtoto kudevelop intelligently; aquireness and able to save data to infnityMtoto hachukui akili za yeyote yule ila kwa kiwango fulani mama huwa anamuathiri mtoto aliyetumboni kwa kumgawia kiwango fulani cha sehemu ya ubongo kijulikanacho kama "gray matter" hii ndo huwa inaamua mtoto wako ata act vipi na jamii yake (kuanzia kujifunza mpaka mazungumzo kwa kitaalamu huitwa "social cognition") ndiyo maana ubongo wa mwanamke husinyaa na kupungua ukubwa pindi akiwa na ujauzito.
Hivyo kwa kiwango fulani mama huchangia intelligence ya mtoto .
😂😂😂 umerudia kile kile nilichoandika , sio mbaya mkuu umejitahidi kuandika kwa uelewa wako😂😂sio kuchangia intellence ya mtoto ni kuwezesha mtoto kudevelop intelligently; aquireness and able to save data to infnity
kibantu hicho weka tiki tu😂😂😂 umerudia kile kile nilichoandika , sio mbaya mkuu umejitahidi kuandika kwa uelewa wako😂😂