Mtoto mzuri mashallah malaika

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,080
1535737_642212072487593_978218930_n.jpg
 
MziziMkavu hao wajukuu kweli wako?? Ni wazuri na warembo sana Nina hamu na watoto mie ningekua karibu ningeiba kamoja hapo!
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu hao wajukuu kweli wako?? Ni wazuri na warembo sana Nina hamu na watoto mie ningekua karibu ningeiba kamoja hapo!
wajukuu wa familia ndio wa kwangu mjukuu wa kaka yangu au dada yangu sio ndio mjukuu wangu? yaani mimi ninaitwa babu katika familia ingawa mwanangu hajazaa bado nina mtoto mkubwa wa kiume. Kama mtoto wangu angelikuwa ni mwanamke ningeshapata wajukuu wengi tu.
 
Back
Top Bottom