Mbunge diaspora
Member
- Feb 4, 2017
- 23
- 23
Ndugu watanzania, huyu mtoto Subira anasumbuliwa na ugonjwa mbaya, hali inayomfanya asiweze kula chochote zaidi ya mafuta na sukari robo, kibaya zaidi analelewa na mama tu baba alifariki, mama hana uwezo wa kumpeleka hospitali.
Najua wapo wasamaria wema na wana uwezo wa kusaidia, akikosa mafuta au sukari basi anabalika rangi na kuwa na maumivu makali.
Najua wapo wasamaria wema na wana uwezo wa kusaidia, akikosa mafuta au sukari basi anabalika rangi na kuwa na maumivu makali.