mtoto mpe mapenzi yake na mimi nipe mapenzi yangu(my wife acharuka)

Heheheee....I'm a good daddy.

But according to her I'm the best daddy in the whole wide world!
I feel the same about my dad (and I know I am as right as she is).
I don't doubt her judgement, all your post on paternity are referencable. lol
 
Kinachomsumbua mkeo ni aina ya wivu.Wivu huu kula mtu anao ila mke wako anauzidisha kiasi kwamba pale unapohitaji kuwa naye hataki. I don't know how much your daughter occupies you, lakini nilifikiri kwamba wakati unacheza na mtoto waweza pia kumsemesha mke wako. Au haiwezekani? Naona kama mkeo anajisikia mpweke sana mnapopiga stori na mtoto. Encourage her to participate in the exchange between you and your daughter.Au mkeo kiingereza kinampa shida? Nimegundua kuwa daughter wako ana uwerzo wa kubonga kiingereza vya kutosha na anapenda mazungumzo yenu yawe kwa kiingereza. Pengine hapo ndo panamtatiza mama kiasi cha kumjaza ghadhabu na kukugomea unyumba. Jaribu kutumia Kiswahili kwa wingi ukiwa na bintiyo ili mama naye ashiriki. Mi ndo nahisi hivyo.
Dah, umeweza kusoma barua ndani ya bahasha.
 
Jaribuni kumshirikisha mama katika kucheza. The best way ni kucheza, kufundishana wote wa 3. Ingawa bano naona kuna tatizo katika kichwa cha huyo mkeo.
Inaonekana kuna kitu kinamsumbue na hiyo anatoa tu sababu kucover what is going around her. Nendeni kwa mshauri
 
Huyu Mwanamama nae loh
na yeye aamue kuwa karibu na mwanae tu ,Ndio maana hata Biblia iliandika kuweni kama watoto wadogo
Mtoto unaweza kumuweka karibu kwa lugha nzuri tu ,Vijizawadi ukitoka kazini
Kupenda kumsikiliza akitaka kucheza na wewe mpe muda akuulize maswali,
Sasa wengine yote haya ataona anasumbuliwa na mwanae ,
ndo maana mtoto atakapopata vitu hivo toka kwingine ni rahisi
Kuhamisha upendo.
Kwa upande wa mkeo kuna tatizo kati ya mama na mtoto upande wa mawasiliano ndio maana anaonekana kukupenda ww zaidi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom