Mshikemshike
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 421
- 208
R.I.P. Baba Girl walivorudi walionekana na afya nzuri Dah kazi ya mungu haina makosa
So Mungu alimuumba mtoto wa watu kuja kuteseka dunianiR.I.P. Baba Girl walivorudi walionekana na afya nzuri Dah kazi ya mungu haina makosa
Ilikuwaje wakapelekwa uarabuni na tunajua waarabu ni wavivu sana
wangepelekwa Israel amaIlikuwaje wakapelekwa uarabuni na tunajua waarabu ni wavivu sana
Utaua bendi Baba, kwetu hatuna wanasaikolojia wa kuwatuliza watu waliofiwa, kwa hiyo huyu character Mungu anafanya kazi hiyo.
Teh ... 😅Utaua bendi Baba, kwetu hatuna wanasaikolojia wa kuwatuliza watu waliofiwa, kwa hiyo huyu chjaracter Mungu anafanya kazi hiyo.
Ninaaaaawallahi khaWaarabu walimchoma sindano ya kufikia Tanzania au?
Kazi yake Mola.....
Wakienda india ndiyo hawafi au? Wangapi wameenda huko still wamekufa! Je unamjua aliyelipia gharama za matibabuMadoctor Bingwa nchi za Kiarabu ni Wahindi, hata Waarabu wenyewe hawawaamini Madoctor wa Kiarabu....
Sitaki kuuliza kwa nini hawakwenda India.... Yote ni kazi ya Mungu.