Wadau hii imekaaje, mambo ya fweza au?
Baeleze ndugu yangu.... Kinachotakiwa vijana wakiume muwape vijana wakike ni utulivu wa moyo. Sio presha za hapa na pale. Khah! ndo mjifunzege sasa.
anatimiza maagizo ya 'mhammad' hata hivo amechelewa si mbichi kivile,
maana bado hakuna aliyevunja rekodi ya mhammadi,