Poleni na majukumu wana JF, naombeni ushauri nifanye nini, imetokea kwa mtoto wangu wa miezi 8 na kidogo ukimsimamisha hakazi miguu na ukimlazimisha hulia sana.
Inavyoonekana mama yake alikua hamzoeshi kumsimamisha toka miezi ya nyuma.
Je kuna hatari ya kutokusimama na kutotembea ?
Na nifanye nini ili kuepusha hiyo kitu
Inavyoonekana mama yake alikua hamzoeshi kumsimamisha toka miezi ya nyuma.
Je kuna hatari ya kutokusimama na kutotembea ?
Na nifanye nini ili kuepusha hiyo kitu
Poleni na majukumu wana JF, naombeni ushauri nifanye nini, imetokea kwa mtoto wangu wa miezi 8 na kidogo ukimsimamisha hakazi miguu na ukimlazimisha hulia sana.
Inavyoonekana mama yake alikua hamzoeshi kumsimamisha toka miezi ya nyuma.
Je kuna hatari ya kutokusimama na kutotembea ?
Na nifanye nn ili kuepusha hiyo kitu?