miss mwanjelwa
Member
- Sep 4, 2016
- 62
- 41
Wakuu habarini za usiku!
Wanajukwaa naombeni msaada wenu, nina mtoto wa miei 9 ila siku ya leo amekuwa na matatizo ya kutapika na kuharisha na joto la mwili limekuwa la kawaida tu.
Alhamisi amemaliza dozi ya quinine (kwinini) na amoxilin kwa ajili ya UTI. Ana kijino kimoja ndo kinachomoka naombeni msaada wenu wenye idea
Wanajukwaa naombeni msaada wenu, nina mtoto wa miei 9 ila siku ya leo amekuwa na matatizo ya kutapika na kuharisha na joto la mwili limekuwa la kawaida tu.
Alhamisi amemaliza dozi ya quinine (kwinini) na amoxilin kwa ajili ya UTI. Ana kijino kimoja ndo kinachomoka naombeni msaada wenu wenye idea