Mtoto kafanana na rafiki yangu

Magoo

JF-Expert Member
Sep 4, 2011
445
72
Ukishangaa ya Maksimo ya Paulsen yatakukuta...
ninaishi katika nyumba ya kupanga yenye wapangaji 4 wote wakiwa katika ndoa isipokuwa mimi. kuna rafiki yangu ambaye mara nyingi anafika kwangu hasa wkend na wakati mwingine analala kwangu... mmoja wa wapangaji wenzangu binti wa kichaga aishiye na mume wake mwenye uwezo mzuri tu kifedha alikuwa na mimba ambayo alijifungua wiki ya tatu sasa
cha ajabu yule mtoto wa kiume kadri anavyokua ndivyo anavyozidi kufanana na huyu jamaa yangu kiasi kwamba naona mme halali akimwona jamaa anavyofanana na mtoto anaweza toa talaka.. jamaa nyangu nimemuuliza kuhusu hilo na akasema kweli aliwai kuduu na huyo mwanamke mara 1 hapo kwa mwanamke....


kuepusha balaa natamani kuama hapa coz huyu ni rafiki yangu ambaye kwangu ni lazima atakuwa anafika na inaweza kutokea jamaa akagundua hili ikaleta taabu katika ndoa yao daaah kizungumkuti...
 
mara yule wa tigo kajifungua mtoto anafanana na rafikiyo?
 
Teh teh teh teh...

Heri yangu mimi wangu anafanana na mamake, mamangu, kachukua pua yangu, akili zangu, haiba ya mamake, na kadhalika.
 
Duu huo msala. Wahi kuhama kabla jamaa hajawamaliz wewe na rafiki yako.
 
na rafikiyo hana wasiwasi anafika tu kwako kama kawa? ana roho ya chuma. endelea kuomba baba mtoto asishtuke
 
Ukishangaa ya Maksimo ya Paulsen yatakukuta...
ninaishi katika nyumba ya kupanga yenye wapangaji 4 wote wakiwa katika ndoa isipokuwa mimi. kuna rafiki yangu ambaye mara nyingi anafika kwangu hasa wkend na wakati mwingine analala kwangu... mmoja wa wapangaji wenzangu binti wa kichaga aishiye na mume wake mwenye uwezo mzuri tu kifedha alikuwa na mimba ambayo alijifungua wiki ya tatu sasa
cha ajabu yule mtoto wa kiume kadri anavyokua ndivyo anavyozidi kufanana na huyu jamaa yangu kiasi kwamba naona mme halali akimwona jamaa anavyofanana na mtoto anaweza toa talaka.. jamaa nyangu nimemuuliza kuhusu hilo na akasema kweli aliwai kuduu na huyo mwanamke mara 1 hapo kwa mwanamke....


kuepusha balaa natamani kuama hapa coz huyu ni rafiki yangu ambaye kwangu ni lazima atakuwa anafika na inaweza kutokea jamaa akagundua hili ikaleta taabu katika ndoa yao daaah kizungumkuti...

Kuepusha balaa na kulinda ndoa ya mtu mwepushe huyo rafiki yako kutua hapo.
 
Msala huo....,
hama nyumba hiyo
jamaa yako kakuingiza matatizoni.. i tell you
 
Ukishangaa ya Maksimo ya Paulsen yatakukuta...
ninaishi katika nyumba ya kupanga yenye wapangaji 4 wote wakiwa katika ndoa isipokuwa mimi. kuna rafiki yangu ambaye mara nyingi anafika kwangu hasa wkend na wakati mwingine analala kwangu... mmoja wa wapangaji wenzangu binti wa kichaga aishiye na mume wake mwenye uwezo mzuri tu kifedha alikuwa na mimba ambayo alijifungua wiki ya tatu sasa
cha ajabu yule mtoto wa kiume kadri anavyokua ndivyo anavyozidi kufanana na huyu jamaa yangu kiasi kwamba naona mme halali akimwona jamaa anavyofanana na mtoto anaweza toa talaka.. jamaa nyangu nimemuuliza kuhusu hilo na akasema kweli aliwai kuduu na huyo mwanamke mara 1 hapo kwa mwanamke....


kuepusha balaa natamani kuama hapa coz huyu ni rafiki yangu ambaye kwangu ni lazima atakuwa anafika na inaweza kutokea jamaa akagundua hili ikaleta taabu katika ndoa yao daaah kizungumkuti...

Mkuu,
Do you remember the adage goes"Show me your friend I will tell you who you are"?,hapo nawe huwezi epuka kikombe hicho lazima ukinywee!
 
hata km mume hatamwona rafiki yako jua kabisa taarifa zitafikishwa na wapangaji wngne. suluhisho ni kuhama
 
Ukishangaa ya Maksimo ya Paulsen yatakukuta...
ninaishi katika nyumba ya kupanga yenye wapangaji 4 wote wakiwa katika ndoa isipokuwa mimi. kuna rafiki yangu ambaye mara nyingi anafika kwangu hasa wkend na wakati mwingine analala kwangu... mmoja wa wapangaji wenzangu binti wa kichaga aishiye na mume wake mwenye uwezo mzuri tu kifedha alikuwa na mimba ambayo alijifungua wiki ya tatu sasa
cha ajabu yule mtoto wa kiume kadri anavyokua ndivyo anavyozidi kufanana na huyu jamaa yangu kiasi kwamba naona mme halali akimwona jamaa anavyofanana na mtoto anaweza toa talaka.. jamaa nyangu nimemuuliza kuhusu hilo na akasema kweli aliwai kuduu na huyo mwanamke mara 1 hapo kwa mwanamke....


kuepusha balaa natamani kuama hapa coz huyu ni rafiki yangu ambaye kwangu ni lazima atakuwa anafika na inaweza kutokea jamaa akagundua hili ikaleta taabu katika ndoa yao daaah kizungumkuti...

Mkuu, ni vigumu sana kujua mtoto wa wiki tatu anafanana na nani.
Ni mapema sana na unaweza kufanya makosa makubwa na kutenganisha ndoa za watu kwa maneno yako, naomba yaishie hapa hapa JF.

Kumbuka umemuuliza huyo rafiki yako na kasema kua kado naye, bila shaka utakua umemweleza kua mtoto kafanana naye, Hivi siku akifika na kuanza kudai mtoto wake akiamini kua ku-do siku moja kumezaa matunda huoni wewe ndio utakua ni source ya matatizo?
Vitu vingine sio vya kusema Mkuu, hasa ishu kama hizo.

Samahani kama nitakukwaza, ni mawazo yangu hayo.
 
Ukishangaa ya Maksimo ya Paulsen yatakukuta...
ninaishi katika nyumba ya kupanga yenye wapangaji 4 wote wakiwa katika ndoa isipokuwa mimi. kuna rafiki yangu ambaye mara nyingi anafika kwangu hasa wkend na wakati mwingine analala kwangu... mmoja wa wapangaji wenzangu binti wa kichaga aishiye na mume wake mwenye uwezo mzuri tu kifedha alikuwa na mimba ambayo alijifungua wiki ya tatu sasa
cha ajabu yule mtoto wa kiume kadri anavyokua ndivyo anavyozidi kufanana na huyu jamaa yangu kiasi kwamba naona mme halali akimwona jamaa anavyofanana na mtoto anaweza toa talaka.. jamaa nyangu nimemuuliza kuhusu hilo na akasema kweli aliwai kuduu na huyo mwanamke mara 1 hapo kwa mwanamke....


kuepusha balaa natamani kuama hapa coz huyu ni rafiki yangu ambaye kwangu ni lazima atakuwa anafika na inaweza kutokea jamaa akagundua hili ikaleta taabu katika ndoa yao daaah kizungumkuti...
Jamani acheni kuleta kesi zinazowahusu nyinyi moja kwa moja kwa kuwasingizia wengine....! We umepanga mahali na wenzio wanne ukiwa bachalor mwenyewe, then unafanya vitu na wake wa wenzio, matokeo yanapotokea unakuja hapa JF kujidai unamuokoa rafiki yako, kumbe unatafuta handaki la kuzamia mwenyewe....! Hahahahaha....! Jamani watu mnachekesha....!
 
Jamani acheni kuleta kesi zinazowahusu nyinyi moja kwa moja kwa kuwasingizia wengine....! We umepanga mahali na wenzio wanne ukiwa bachalor mwenyewe, then unafanya vitu na wake wa wenzio, matokeo yanapotokea unakuja hapa JF kujidai unamuokoa rafiki yako, kumbe unatafuta handaki la kuzamia mwenyewe....! Hahahahaha....! Jamani watu mnachekesha....!

Umejuaje kama huu mkasa ni wake?
 
Umejuaje kama huu mkasa ni wake?
Mkuu NN, ukijaribu kutafakari kwa mbaaali kidogo, utaona kwamba hata composition za familia za wapangaji (akiwemo yeye) inakupa picha fulani....!
Hata huyo rafiki yake hakueleza urafiki wao ulianzia wapi hadi hapo wanapoelezana makubwa kama hayo...!
Matembezi ya rafiki yake yalianza lini hadi rafiki yake ka-do na mpangaji mwenzake kwa mwanamke, huku yeye kama rafiki wa kweli bila kujua au kuhisi yanayoendelea hadi sasa....!
.............................................................................
..............................................................................
...............................................................................
 
Ukishangaa ya Maksimo ya Paulsen yatakukuta...
ninaishi katika nyumba ya kupanga yenye wapangaji 4 wote wakiwa katika ndoa isipokuwa mimi. kuna rafiki yangu ambaye mara nyingi anafika kwangu hasa wkend na wakati mwingine analala kwangu... mmoja wa wapangaji wenzangu binti wa kichaga aishiye na mume wake mwenye uwezo mzuri tu kifedha alikuwa na mimba ambayo alijifungua wiki ya tatu sasa
cha ajabu yule mtoto wa kiume kadri anavyokua ndivyo anavyozidi kufanana na huyu jamaa yangu kiasi kwamba naona mme halali akimwona jamaa anavyofanana na mtoto anaweza toa talaka.. jamaa nyangu nimemuuliza kuhusu hilo na akasema kweli aliwai kuduu na huyo mwanamke mara 1 hapo kwa mwanamke....


kuepusha balaa natamani kuama hapa coz huyu ni rafiki yangu ambaye kwangu ni lazima atakuwa anafika na inaweza kutokea jamaa akagundua hili ikaleta taabu katika ndoa yao daaah kizungumkuti...

Ukiona hivyo ujue huyo mwanamke alikuwa anamchukia sana huyo rafiki yako wakati akiwa na mimba.
 
ni mapema sana kujua mtoto anafanana na nani hasa, wiki tatu nimapema mmno subirini tu hadi apate kimo kidogo ndio mtaujua ukweli, na pia hamuwezi jua ktk ukoo wa huyo mwanamke au mume wanafanana vipi. halafu hivi inawezekana kweli huyo rafiki akafanya ngono zembe na mke wa mtu kwa ck moja tu na kupata mimba??? sidhani kama ni wazembe kiasi hicho
 
Ni wewe mwenyewe umezoea kudandia wake za wenzio, ngoja hapo hapo ili na wewe wakupe mimba kama ulivyomfanyia mwenzio.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom