Bernard Rwebangira
R I P
- Feb 15, 2009
- 99
- 2
WADAU TUMSAIDIE MTOTO TUNTUFYE..
Mtoto Tumtufye Mwakasaka (8) ambaye kwa sasa amekatisha shule na kuja Iringa mjini kutafuta wasamaria wema kwa ajili ya kunusuru maisha yake baada ya mwili wake kuvimba mithiri ya pipa.
Anaomba wabongo na wadau wote pamoja na Rais Jakaya Kikwete kusaidia kunusuru uhai wa mtoto huyo.
Mtoto huyo ambaye anahitaji msaada wa fedha zaidi ya shilingi milioni 5 kwa ajili ya kwenda nchini India kutibiwa kwa sasa anaishi katika eneo la Bwawani kihesa kilolo katika Manispaa ya Iringa huku akiendelea kutabika baada ya mwili wake kutokwa na malenge lenge sehemu za siri na maeneo mengine huku akiendelea kuvimba mwili kutokana na maradhi ya figo yanayomsumbua.
Kwa mujibu wa mwanablog Fransis Godwin.
tembelea pia Bongo Pix kwa habari zaidi
Mtoto Tumtufye Mwakasaka (8) ambaye kwa sasa amekatisha shule na kuja Iringa mjini kutafuta wasamaria wema kwa ajili ya kunusuru maisha yake baada ya mwili wake kuvimba mithiri ya pipa.
Anaomba wabongo na wadau wote pamoja na Rais Jakaya Kikwete kusaidia kunusuru uhai wa mtoto huyo.
Mtoto huyo ambaye anahitaji msaada wa fedha zaidi ya shilingi milioni 5 kwa ajili ya kwenda nchini India kutibiwa kwa sasa anaishi katika eneo la Bwawani kihesa kilolo katika Manispaa ya Iringa huku akiendelea kutabika baada ya mwili wake kutokwa na malenge lenge sehemu za siri na maeneo mengine huku akiendelea kuvimba mwili kutokana na maradhi ya figo yanayomsumbua.
Kwa mujibu wa mwanablog Fransis Godwin.
tembelea pia Bongo Pix kwa habari zaidi