Rahma Salum
Member
- Sep 7, 2020
- 30
- 59
Kwa mujibu wa sheria ya Mtoto (2009), Watoto wana ruhusa ya kufanya kazi baada ya kutimiza umri wa miaka 14. Kazi haipaswi kumzuia mtoto kuhudhuria masomo au kupata muda wa kujisomea na kupumzika.
Watoto wasiajiriwe kufanya kazi nyakati za usiku. Yeyote anayewafanyisha kazi watoto kupita kiasi, au asiyewalipa ujira unaostahili, basi anavunja sheria hii.
Watoto wasiajiriwe kufanya kazi nyakati za usiku. Yeyote anayewafanyisha kazi watoto kupita kiasi, au asiyewalipa ujira unaostahili, basi anavunja sheria hii.