Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,353
– Akutwa akiwa amekatwa sehemu za siri na ulimi
– Yasadikiwa pia alilawitiwa kabla ya kuuawa
Mtoto Fraterin Massawe (11) mwanafunzi wa darasa la nne katika shule ya msingi Magereza aliokotwa akiwa ametupwa katika shamba linalomilikiwa na masista wa kanisa katoliki lililopo Karanga.
Amesema mtoto huyo alikutwa akiwa na jeraha kubwa usoni, huku korodani zikiwa zimeondolewa pamoja na ulimi na kwamba anaonekana kulawitiwa kutokana na kukutwa na haja kubwa .
Taarifa za awali zinasema mtoto huyo alitoweka nyumbani Mei 21, mwaka huu na kwamba alionekana na mtu alitajwa kuwa ni Mariki Peter Olomi (45) mkazi wa Kibosho road.
Kamanda alisema mtuhumiwa anashikili kwa uchunguzi zaidi na kwamba mwili wa mtoto huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mawenzi.
Kamanda wa polisi mkoani Kilimanjaro Flugence Ngonyani, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba lilitokea Mei 23, mwaka huu saa 1:00 asubuhi katika kijiji cha Katanini kata ya Karanga manispaa ya Moshi.
– Yasadikiwa pia alilawitiwa kabla ya kuuawa
Mtoto Fraterin Massawe (11) mwanafunzi wa darasa la nne katika shule ya msingi Magereza aliokotwa akiwa ametupwa katika shamba linalomilikiwa na masista wa kanisa katoliki lililopo Karanga.
Amesema mtoto huyo alikutwa akiwa na jeraha kubwa usoni, huku korodani zikiwa zimeondolewa pamoja na ulimi na kwamba anaonekana kulawitiwa kutokana na kukutwa na haja kubwa .
Taarifa za awali zinasema mtoto huyo alitoweka nyumbani Mei 21, mwaka huu na kwamba alionekana na mtu alitajwa kuwa ni Mariki Peter Olomi (45) mkazi wa Kibosho road.
Kamanda alisema mtuhumiwa anashikili kwa uchunguzi zaidi na kwamba mwili wa mtoto huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mawenzi.
Kamanda wa polisi mkoani Kilimanjaro Flugence Ngonyani, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba lilitokea Mei 23, mwaka huu saa 1:00 asubuhi katika kijiji cha Katanini kata ya Karanga manispaa ya Moshi.