Atoti
Senior Member
- Nov 30, 2010
- 118
- 6
WanaJF nina jambo nilikutana nalo nikabaki na swali!
Kuna dada niko karibu naye alidivorce na mumewe na wana mtoto 1 apparently jamaa alikuwa homo.. Wakati wametengana the kid was 4 n half mths sasa hivi she is 6 n half yrs huyo kaka hamhudumii mwanae kwa lololote na hayuko bothered hata kumuona mwanae dada kajaribu kumuweka karibu na mwanae amechoka tangu waachane kamuona mwanae only once akiwa 4yrs! Hv mtoto anastahili kweli kupewa last name ya babaye au apewe ya ujombani.. Shule kaandikishwa kwa majina yake mwenyewe mawili now wanataka la tatu ndiyo mama yuko kwenye dilemma.. Binafsi nadhani vyote hvyo havichange fact kuwa ndiye baba wa mtoto but inakera kwa kweli mtu kuwa irresponsible hvyo mpaka mama anatamani kumdelete mpaka last name duh!
Ingekuwa ww ungefanyaje?
Kuna dada niko karibu naye alidivorce na mumewe na wana mtoto 1 apparently jamaa alikuwa homo.. Wakati wametengana the kid was 4 n half mths sasa hivi she is 6 n half yrs huyo kaka hamhudumii mwanae kwa lololote na hayuko bothered hata kumuona mwanae dada kajaribu kumuweka karibu na mwanae amechoka tangu waachane kamuona mwanae only once akiwa 4yrs! Hv mtoto anastahili kweli kupewa last name ya babaye au apewe ya ujombani.. Shule kaandikishwa kwa majina yake mwenyewe mawili now wanataka la tatu ndiyo mama yuko kwenye dilemma.. Binafsi nadhani vyote hvyo havichange fact kuwa ndiye baba wa mtoto but inakera kwa kweli mtu kuwa irresponsible hvyo mpaka mama anatamani kumdelete mpaka last name duh!
Ingekuwa ww ungefanyaje?