Mr Anold
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 218
- 46
Dr naomba msaada maana mwanangu miezi 3 kasoro siku 6 anaharisha maji maji kila baada ya kunyonya. Tatizo lilianza jana usiku.
Kuna wanaotuambia eti yawezekana mama yake ni mjamzito na wengine wanasema ni side effect za sindano ya chanjo ambayo alichomwa ijumaa. Nimebaki dilema sasa.
Haonyeshi dalili za maumivu na amechangamka anacheza vizuri kabisa ila tu akishanyonya withing 2 to 3minutes anapoo maji maji.
Naomba msaada.
Kuna wanaotuambia eti yawezekana mama yake ni mjamzito na wengine wanasema ni side effect za sindano ya chanjo ambayo alichomwa ijumaa. Nimebaki dilema sasa.
Haonyeshi dalili za maumivu na amechangamka anacheza vizuri kabisa ila tu akishanyonya withing 2 to 3minutes anapoo maji maji.
Naomba msaada.